idoyo JF-Expert Member Joined Jan 13, 2013 Posts 3,051 Reaction score 1,423 Aug 25, 2015 Thread starter #21 gsu said: kwani waziri wa uvuvi kazi yake ni kujenga viwanda vya samaki? Click to expand... yeye kilichomshangaza ni kipi?
gsu said: kwani waziri wa uvuvi kazi yake ni kujenga viwanda vya samaki? Click to expand... yeye kilichomshangaza ni kipi?
M Mwafrika JF-Expert Member Joined Nov 20, 2006 Posts 5,490 Reaction score 231 Aug 25, 2015 #22 Yaani we unadhani kuzunguka na watu hawa wote ni swala dogo, lazima achanganyikiwe mmoja ni muua tembo na mwingine muuza twigaa wengine wote ni watu wa kanda maalumu ndani ya ccm
Yaani we unadhani kuzunguka na watu hawa wote ni swala dogo, lazima achanganyikiwe mmoja ni muua tembo na mwingine muuza twigaa wengine wote ni watu wa kanda maalumu ndani ya ccm
Wapoti JF-Expert Member Joined Aug 28, 2013 Posts 2,824 Reaction score 1,099 Aug 25, 2015 #23 Masikini wamechoka nyuso zao wanang'arishwa tu na hizo T shirt za vitambaa vya chupi. Attachments 1440505173719.jpg 43 KB · Views: 134