Magufuli is the real deal, judgement kuwa is real deal or not haifanywi mwanzo, inafanywa mwisho na usually the end justify the means, kufikia 2025, Tanzania yenye uchumi wa gesi, flyovers all the places, treni za umeme, ATC ikiruka dunia nzima kama Ethiopian Airlines of course with Chama kimoja cha siasa as usual for African Democracy.
Kama issues za kufanya asionekana real deal now ni huu udikiteta, ni kweli Magufuli ni dikteta na tatizo lake kubwa ni moja tuu tena dogo sana, ukosefu wa hekima na busara tuu katika kufikia baadhi ya maamuzi, anakurupuka sana na anaropoka sana ila hiki ndicho Tanzania tulichohitaji, tulichotaka, tulicho omba na tukapatiwa.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
Watanzia ni watu wa ajabu sana, wepesi wa kulaumu na kulalamika na kulaani huku wakijilaumu kujuta kufanya makosa na kujiapiza kamwe hawatarudia makosa, lakini unapofikia muda wa kufanya maamuzi, Watanzania ni wepesi wa kusahau, hawana tena kumbukumbu za mambo ya nyuma, ile shibe ya siku moja ya pilau na mavazi ya bure ya T-shirt na kofia, yanatosha kusahaulisha yote, na kisha tunarudia yale yale na ushahidi ni 2020! .
Watanzania ni ignorants au tumelogwa? October 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu?
Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision, au ni Ignorance?
Watanzania ni 'very unique creatures'
Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye Maendeleo au kwenye Ignorance?
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa Wengi Kuliko Tunavyojidhania?!.
Paskali.