Magufuli has to choose leser evil la sivyo

maganjwa

JF-Expert Member
Sep 11, 2012
2,774
2,297
Swala madini lazima asipokuwa mkali basi tutakula hasara mbaya sana mfano wake ni huu.

Dereva anaendesha gari kwenya mteremko akina mama 2 wenye watoto wanatisha barabara. je dereva atafanyaje awaue au awakwepe aangushe gari yenye watu 60?

Mfano huu akina mama ni kampuni za madini na gari ni watanzania zaidi ya milion 47 sasa amewachokoza na nia yake ni njema sana je ana ubavu kama wa mugabe?

Maana asipowafukuza na kukataa wakienda kwenye ile mahakama yao wanashinda kesi na kudaiwa nchi atakuwa ameiangusha gari afadhali kuachana nao akatafutwa atakayeweza kufuata sheria mpya itakayitungwa.

Nje ya hapo itakuwa kama iptl na esrcow na tutaimizwa sana mana isue itakuwa ni sheria na wale wanafuata sheria tu na ndo tulipifanya kosa la mauti yetu
 
Dicteta sifa yake ni kusikiliza watu wake wanasemaje na naamini anasoma haya
 
Tundu Antipas Lissu kwanini usitulie. wenye makanikia/mashobo wamesema wapo tayari hata kujenga smelter, wameomba tuvute meza tuzungumze, wanatuomba tumalizane bila kuvutana mashati, lkn wewe upo unalia lia. Kausha bana Tundu, acha kichwa rungu akomboe taifa.
nani kakuambia mim tundu huu ndo ukweli magufuli kama sio kutafuta sifa na yuko tayar kwa vita aliyoanzisha asirudi nyuma ataangusha gari letu hakuna kufanya kesi na hawa makampuni hatushindi
 
Kabla ya kuleta huu ushauri ungejiuliza nini kilicho wa nyongonyeza haya makampuni? Pamoja na kusema wanaingia hasara ya 1 million dolari kila siku. Yeyote yule aliyebuni mpango wa kuzuiliwa makasha yenye magwangala na kuyafanyia uchunguzi anastahili pongezi sana. Wamewashika jamaa pabaya.


Na washawasha!
 
Back
Top Bottom