OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,239
- 103,916
jibu hoja za ocampo basi tuonemagufuli ndio rais wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano wa tanzania. hutaki unaacha
jibu hoja za ocampo basi tuonemagufuli ndio rais wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano wa tanzania. hutaki unaacha
Kaka Maundumula, kwani hujajua tu kuwa Ben Saanane yupo kwenye Payroll ya Lowasa? Tutashuhudia mengi kuelekea OktobaMbona Lowassa hujamtaja?
Au umeshahesabiwa?
Kama tunafunua madhambi tuwafunue wote tuchague afadhali afadhali
wala sijapewa fedha yoyote mkuu.... mshahara wangu ndiyo nimitumia kufanya huo utafiti mdogo kwa kwenga Msasani, Mwenge, na kwenye baadhi ya barabara kama ile ya Ikwiriri kwenda Somanga..... Lowassa hata simfahamu na sitaki hata kumfahamu....Mafisadi wabaya sana. Hivi wewe kaka Ocampo four unalipwa kiasi gani kumchafua Magufuli?
Kwani Ocampo four ana hoja gani ya maana mpaka ajibiwe? Kaka hugochavez, umesema ukweli kuwa Rais ajaye ni Magufulijibu hoja za ocampo basi tuone
Pamoja sana Comrade...... IngweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeHapana mkuu unajua hapa ni maslahi ya taifa na watu makini na wazalendo kama ocampo four wamekua nadra sana sikuhizi humu.Sona shaka na data zake angalao hadi sasa
Mbowe na Slaa wameingiaje hapa.umetaitiwa unaanza kutapatapa.Bora sisi tumeweza kubeba mikoba ya Dr.Slaa,wewe Magufuli umeshindwa kumtawaza hapawachumia tumbo kama wewe mtafia ubebaji mikoba ya mbowe na slaa
Hakuna utafiti wowote uliofanya. Huna jipya ulichoandika ambacho hakijawahi kuripotiwa kwenye media. Kumbuka kumpiga mateke chura ni kumuongeza mwendo. Magufuli hachafuliwi kwa staili hiyowala sijapewa fedha yoyote mkuu.... mshahara wangu ndiyo nimitumia kufanya huo utafiti mdogo kwa kwenga Msasani, Mwenge, na kwenye baadhi ya barabara kama ile ya Ikwiriri kwenda Somanga..... Lowassa hata simfahamu na sitaki hata kumfahamu....
Tehetehetehetehe! Leo Ben Saanane amepatikanaPamoja sana Comrade...... Ingweeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kwani Ocampo four ana hoja gani ya maana mpaka ajibiwe? Kaka hugochavez, umesema ukweli kuwa Rais ajaye ni Magufuli
Kweli aiseee! Yeriko na Ben Mida 8 wamekuwa ka mayatima vile. Sasa naona wanajipendekeza kwa Lowasa
Daaah,hoja hizi jamani hazitaki jazba.Ingawa uzi ni wa Magufuli lakini kwa mbali Membe ametajwa akichimbia hela za Gadafi kwenye mahandaki.na Pinda akiwezesha hela za Escrow kuibwa.Kifupi vijana wa Lowasa wako vizuri.
Dah! Hii ndoa ya Ocampo four na Ben Saanane imeanza lini?Ben Saanane ni mtu makini na mwenye akili sana...... Ni Moja wa watu ambao wakishusha uzi hata kama nilikuwa nakula nasitisha zoezi kwanza ili tu nisome uzi wake......
Kaka Maundumula, kwani hujajua tu kuwa Ben Saanane yupo kwenye Payroll ya Lowasa? Tutashuhudia mengi kuelekea Oktoba
Kambi Lowasa wameingiwa na kiwewe baada ya kusikia kuwa Magufuli anagombea urais. Mafisadi kaeni chonjoMagufuli anadharau sana.eti pigeni mbizi kwenda Kigamboni...mxuuuh
Ben Saanane, kwani CHADEMA umewakosea nini mpaka sasa umeamua kuungana na timu ya mafisadi? Yaani hadi unatia huruma. Umekuwa ka Chokora vileDuh kwa Lowassa tena kwa hiyo mimi sio team Membe tena?Mmenifukuza huko rasmi?
CC: Young Tanzanian , mmaranguoriginal
page ya 4,mnataja majina tu hoja hamjibu.Mkuu Hot Lady,patapojibiwa hoja uni-tagTehetehetehetehe! Leo Ben Saanane amepatikana