hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
Anayesimama kumchafua magufuli kwa namna yoyote ile ni wa kuogopwa kama ukoma. magufuli ni ngumi jiwe na ni jembe
sasa kwa nini Lowassa kumiliki mali inakuwa nogwa ila kwa wengine inakuwa sahihi? hiyo ndiyo double standard ambayo hatutaki kwa sasa...... Pili ni Magufuli kwa maslahi yake binafsi ndiyo alishawishi uuzaji wa nyumba hizo...... angalia hapo Dada kabula kahongwa nyumba mbili kisa mbunje, only in TanzaniaLakini husemi kuwa Mkapa ndiye alieamuru nyumba hizo za serikali ziuzwe! Kwani kumiliki Hotel ni ufisadi, Lowasa anamiliki magorofa mangapi ya aina kama ile, au anamiliki vitegauchumi vingapi nchini tena kwa njia za kutiliwa mashaka kupita hiyo hotel unayotuaminisha ni ya Magufuli? Sasa inakuwaje, wakati huohuo unatushawishi tumchague Lowasa kuwa siyo fisadi?
Wewe kila mtu anayetaka kuwania urais tofauti na Lowassa, basi mtu huyo hafai tena, si ndiyo?
Hapa inaonyesha ukifanyacho katika kumpaisha Lowasa, ni kwavile unalipwa + ahadi! Means wewe ni mganga njaa tena kwa manufaa yako binafsi pengine hufai kusikilizwa kabisa humu jukwaani!
je umetumwa kwa hili aukwa utashi wako tu....?
Maandishi makubwa huna hoja, jibu hizo tuhuma mkuu acha kutokwa povuHofu ishaanza, povu la nini????nionavyo angalau
HUYU NI BORA MARA 1000 YA EDWARD LOWASSA, kama hutaki wakati wa wiki ya kupiga kura nenda UK.
heeh,heeh huko CCM ni kama Congo vita ya wenyewe kwa wenyewe.Mkuu hapa hapa waweza kumchafua mgombea yeyoteAnayesimama kumchafua magufuli kwa namna yoyote ile ni wa kuogopwa kama ukoma. magufuli ni ngumi jiwe na ni jembe
Maandishi makubwa huna hoja, jibu hizo tuhuma mkuu acha kutokwa povu
Tehetehetehetene! Eti ocampo four hana timu wala chama cha siasa? Wewe kweli umechanganyikiwa. Ocampo four anajulikana yupo hapa kumtetea Lowasa. Fuatilia tu utamgundua. Kazi kubwa anayofanya ni kujaribu kuwachafua wale wote wanaotaka kushindana na fisadi Lowasa kwenye mbio za urais.Hapana mkuu ni mimi kabisa.Watu jasiri kama huyu ocampo four tena inawezekana hana kundi na wala hana chama kabisa wanapaswa kuungwa mkono kwa kuweka itikadi zetu kando wanapoleta mambo yenye uhakika kama haya
Hapana mkuu ni mimi kabisa.Watu jasiri kama huyu ocampo four tena inawezekana hana kundi na wala hana chama kabisa wanapaswa kuungwa mkono kwa kuweka itikadi zetu kando wanapoleta mambo yenye uhakika kama haya
Hapana mkuu unajua hapa ni maslahi ya taifa na watu makini na wazalendo kama ocampo four wamekua nadra sana sikuhizi humu.Sona shaka na data zake angalao hadi sasa
Pamoja sana Kamanda..... Lazima turudishe hadhi ya JF ya zamani enzi hizo nikiwa natumia Ocampo Seven........ Pamoja kakaMkuu ocampo four
Ninakubaliana sana na maaudhui ya hoja yako.Wewe uko makini sana Mkuu katika hili.
WanaJF tunasubiri ushushe za Akina Membe,Sitta, Mwakyembe ,Wassira na January Makamba ili tuwe wa kwanza kujua mkuu
Unajua kwa muda mrefu sana watu makini kama wewe hapa JF wamekua hawapatikani kwa Urahisi
Shusha data mkuu
CC : Pasco, Manyerere Jackton, John Okello william j. Malecela Molemo okwi Boban Sunzu Yericko Nyerere , Matola na wadau wote
Kweli aiseee! Yeriko na Ben Mida 8 wamekuwa ka mayatima vile. Sasa naona wanajipendekeza kwa Lowasawachumia tumbo kama wewe mtafia ubebaji mikoba ya mbowe na slaa
Siyo kweli Mkuu.... Mimi ni mtu huru na nitazidi kuwa mtu huru kwa kufanya tafiti huruTehetehetehetene! Eti ocampo four hana timu wala chama cha siasa? Wewe kweli umechanganyikiwa. Ocampo four anajulikana yupo hapa kumtetea Lowasa. Fuatilia tu utamgundua. Kazi kubwa anayofanya ni kujaribu kuwachafua wale wote wanaotaka kushindana na fisadi Lowasa kwenye mbio za urais.
Mafisadi wabaya sana. Hivi wewe kaka Ocampo four unalipwa kiasi gani kumchafua Magufuli?Pamoja sana Kamanda..... Lazima turudishe hadhi ya JF ya zamani enzi hizo nikiwa natumia Ocampo Seven........ Pamoja kaka
Huo uhuru umeanza lini? Haya kama kwelu upo huru, mbona hujawahi kuandika madudu anayofanya Lowasa?Siyo kweli Mkuu.... Mimi ni mtu huru na nitazidi kuwa mtu huru kwa kufanya tafiti huru
Ben Saanane ni mtu makini na mwenye akili sana...... Ni Moja wa watu ambao wakishusha uzi hata kama nilikuwa nakula nasitisha zoezi kwanza ili tu nisome uzi wake......Kuna mtu atakuwa ame-hack account ya Ben Saanane.
Mkuu ocampo four
Ninakubaliana sana na maaudhui ya hoja yako.Wewe uko makini sana Mkuu katika hili.
WanaJF tunasubiri ushushe za Akina Membe,Sitta, Mwakyembe ,Wassira na January Makamba ili tuwe wa kwanza kujua mkuu
Unajua kwa muda mrefu sana watu makini kama wewe hapa JF wamekua hawapatikani kwa Urahisi
Shusha data mkuu
CC : Pasco, Manyerere Jackton, John Okello william j. Malecela Molemo okwi Boban Sunzu Yericko Nyerere , Matola na wadau wote