Amon Mtekateka
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 1,225
- 333
Nyinyi watu wa UDOM funguen website yenu bhana mnatusumbua bhanaaaa!
Udom as no shida tupu utadhani secondri za kata..uongozi mbovu..kusajiriwa tu had I bahati tu. Kwan kuna baadhi ya watu hadi Leo hawajasajiriwa magufuli wapi baba..