Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,502
- 51,098
Wahaya hawawezi kumsahau huyu mzee
Magufuli amesema Kagera haipaswi kuwa ya matatizo bali ya mfano na kutolea mfano majanga yaliyotokea Kagera ya Ukimwi na tetemeko.
Pia akawaambia anajua wana kijiji kinaitwa Katerero na mto unaitwa Ngono.
Msikilize:
Kumbe alikuwa hatumii?Hivi angekuwa anatumia kilevi sijui ingekuwaje.
“Waterproof bedrooms”?Au ulimaanisha “waterproof mattresses”?hayo mengine aliyoyataja, achana na katerero, hayo mengine sijui yana maana gani kwa kihaya manake nimeona nshomile wamecheka kuliko hata katerero ilivyotajwa. hata hivyo wanajua kinachoendelea kwani hotel zote bukoba zina waterproof bedroom. ndio sehemu pekee tz utakuta kitu kama icho.