SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,613
- 7,901
Duh...Kamati za roho mbaya zipo kazini!
Ila muhimu wasemaji wa serekali wakatolea maelezo uvumi huu....kuukanusha au kuithibithisha....kukaa kimya hakuna afya. Kama anaumwa, ni kawaida tu...tuambizane.Sote ni binadamu tu.
Kuhusu kifo pia, hakuna hata mmoja wetu anayeweza kujua anakufa lini. Ila lililo la uhakika (kuliko pengine mambo yote mengine) ni kuwa wote lazima tutakufa kila mtu kwa wakati wake.
Ila muhimu wasemaji wa serekali wakatolea maelezo uvumi huu....kuukanusha au kuithibithisha....kukaa kimya hakuna afya. Kama anaumwa, ni kawaida tu...tuambizane.Sote ni binadamu tu.
Kuhusu kifo pia, hakuna hata mmoja wetu anayeweza kujua anakufa lini. Ila lililo la uhakika (kuliko pengine mambo yote mengine) ni kuwa wote lazima tutakufa kila mtu kwa wakati wake.