Sasa mkuu shaka yangu ni kule kuwemo kwenye jengo la TRA wamepanga?kama wame panga inakuweje ofisi ya serikali tena nyeti kama hiyo ipangishwe?
kaka mbona crdb ipo ndan ya jengo la tra pale posta??mbona nmb ipo kwny jengo la tra pale mwenge sasa shaka yako ww ni nn sijakuelewa ni issue ya kibiashara tu!na hyo bank m muhusika mkuu ni nimrod mkono!Sasa mkuu shaka yangu ni kule kuwemo kwenye jengo la TRA wamepanga?kama wame panga inakuweje ofisi ya serikali tena nyeti kama hiyo ipangishwe?
Hawa ndio Mkapa aliyokuwa amewasema, wanakurupuka tu na kuandika wanachohisi, hawafanyi uhakiki wa wanachokisikia, wana presha, wanataka-kuwa wa kwanza kuchangia mada....kweli mzee mkapa hakukosea.
Hii benki mwenyekiti wake ni Nimrod Mkono na pia ni shareholder; lakini la msingi ni kuwa benki hii ilianzishwa kwa pesa yetu iliyoibiwa na wale wezi wa EPA wakina JEETU Patel!!! Mpaka leo hii serikali ya magamba inaogopa kumgusa Jeetu kwani atawaumbua mahakamani na ndio maana kesi zinazomhusu za EPA zimezimwa mapaka DHAIFU atoke madarakani!!
Kuna tatizo gani kwa hiyo Bank kuwa pale?Mnajua hayo ndo Lowasa anataka kupambana nayo, kuchukia watu kiwivu wivu bila hoja.Wakija UKAWA, ni mabepari pure, hata bandari watauza alımradi kuwepo na ufanisı.
M Bank unamaanisha Bank M? Kama ndiyo, basi ni ya fisadi Nimrod Mkono! Bank kuwapo ndani ya jengo la TRA hakuna tatizo lolote coz' hiyo ndio maana halisi ya Long Room! Ikiwa Bank M ni mmoja wa mawakala wa TRA katika kukusanya mapato, sasa badala ya kumfanya mteja atoke bandarini hadi somewhere else liliko tawi la Bank M kwa ajili ya kulipa ushuru, basi wanamaliza issue mzima hapo hapo mjengoni! Na kwa ninavyofahamu Bank M ni corporate kwahiyo bila shaka wana wateja wa kutosha wanaofanya biashara na TRA/Bandari! Sasa hapo lengo ni kuondoa usumbufu wa kwenda na kurudi!Wakuu bado sijapata jibu ninani hasa mmiliki wa bank hii na kwa nini imeruhusiwa kuwa yenye dhamana ya kukusanya mapato ya serikali huku ikiwa ni ya binafsi.Naona kabla hata ya kupata jibu uzi umesha unganishwa tayari huenda hata wenye majibu hawaja pata nafasi ya kutupatia.Naliona ni jambo lenye public interest,kwasababu wananchi wangependa kujua kwanini mapato yao ya ingie mifukoni mwa watu ndipo ya ingie hazina.Bank hii hukusanya chapchap na nyaraka zake hupokelewa chapchap.Ndiyo maana nilidhani Magufuli anaweza kuwa analijua hili kuliko Lowasa aliye ondoka serikalini 2008.Ikoshaka kuwa walio mweka magufuli ni wale wanao jikusanyia mapato ya serikali na kuweka mfukono na kisha kuacha nyaraka zitembezwe kuwa serikali imepata mapato.Tuna elezwe kwa taarifa zisizo rasmi kuwa hiyo M maana yake ni Mkapa bank,na mkapa ndiyo tume mwona anavyo kuwa mkali kwenye kampeni akitukana vile.Kwa nini tusiamini kamweka magufuli kulinda bank ya kukusanya hela za kifisadi?
bank M ni ya advocate Mkono, labda kama ameiuza
M Bank unamaanisha Bank M? Kama ndiyo, basi ni ya fisadi Nimrod Mkono! Bank kuwapo ndani ya jengo la TRA hakuna tatizo lolote coz' hiyo ndio maana halisi ya Long Room! Ikiwa Bank M ni mmoja wa mawakala wa TRA katika kukusanya mapato, sasa badala ya kumfanya mteja atoke bandarini hadi somewhere else liliko tawi la Bank M kwa ajili ya kulipa ushuru, basi wanamaliza issue mzima hapo hapo mjengoni! Na kwa ninavyofahamu Bank M ni corporate kwahiyo bila shaka wana wateja wa kutosha wanaofanya biashara na TRA/Bandari! Sasa hapo lengo ni kuondoa usumbufu wa kwenda na kurudi!
The idea is commercial/customer services oriented labda kama tatizo liwe kwenye uendeshaji wake!
Dr.Pombe Magufuli ni Waziri wa Ujenzi na bandari haiko chini ya Wizara ya Ujenzi hivyo Dr.Pombe Magufuli hahusiki na chochote kinachoendela bandarini na hana mamlaka (bado mpaka baada ya 25/10) ya kuingilia Wizara nyingine hivyo ningekushauri utafute majibu ktk kwa Wizara husika, si ajabu fisadi Lowasa na Genge lake pia wanaweza kujua sina uhakika lkn jaribu kuwauliza!
Katika hali ya kawaida unaweza kumwita sio fisadi kwavile pesa ya Mkono inatokana sana na taaluma yake ya kisheria! Tatizo la wanasheria, ujanja ujanja mwingi mno na hili si kwa Mkono tu bali almost wanasheria wote hususani kama wanafanya kazi na taasisi za serikali (taasisi as a client)! Sasa ukichulia kesi za TANESCO kwa mfano ambazo Mkono alikuwa wakili wao... kesi zingine ukiziangalia vizuri ni kama zilikuwa zinatengenezwa ili watu waendelee kupiga pesa na hili linakuja pale unakuta TANESCO wanafungua kesi, wanashindwa wanakata rufaa wanakula za uso na sehemu zote zote hizo watu wanakula per hour!Well done! Ila siamini kama mkono ni fisadi kulinga na shughuli zake