Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 719
Kama umewahi kutoa mzigo pale bandarini utakuwa ume ona bank moja iitwayo M bank ambayo hukusanya mabilioni ya fedha za walipa kodi.
Hiyo bank haina kazi nyingine bali kukusanya kodi.Kwa nini ipo kwenye jengo la mapato ya serikali?.Kwa hakika ni ya mtu binafsi sasa niya nani?
Haiingii akilini kama utaratibu huo hauna harufu ya ufisadi wa kutisha kwa mapato ya serikali.Kama kulikuwa na ulazima wa kurahisisha ulipaji wa kodi si ingekuwa vema wange weka hata bank kama NMB ambayo serikali ina hisa kuliko mazingira hayo ambayo bank hiyo inaweza kukusanya na kufanyia mambo yao kabla ya kuwasilisha hazina?
Na nimetoa mimi mzigo pale,yaani ukilipia kwenye bank hiyo nyaraka zake zimefanywa kuwa na nguvu kuliko bank nyingine ambazo hupelekwa kwanza hazina.Lakini wao ukilipia hakuna nyaraka kusubiri ziende hazina,una chukua mzigo moja kwa moja.Na taarifa nilizo nazo nasikia hiyo 'M' maana yake Mkapa bank.
Sasa kama ni kweli kwanini tusihusishe Mkapa kumtaka Magufuli awe Raisi ili kulinda ufisadi kama huo?.Halafu Mkapa mwenyewe ana kampeni kwa matusi kama kwa kupanic?
Hali hii inatia shaka kubwa juu ya uteuzi wa Magufuli kwamba anakwenda pale kulinda maslahi ya mafisadi.
Hiyo bank haina kazi nyingine bali kukusanya kodi.Kwa nini ipo kwenye jengo la mapato ya serikali?.Kwa hakika ni ya mtu binafsi sasa niya nani?
Haiingii akilini kama utaratibu huo hauna harufu ya ufisadi wa kutisha kwa mapato ya serikali.Kama kulikuwa na ulazima wa kurahisisha ulipaji wa kodi si ingekuwa vema wange weka hata bank kama NMB ambayo serikali ina hisa kuliko mazingira hayo ambayo bank hiyo inaweza kukusanya na kufanyia mambo yao kabla ya kuwasilisha hazina?
Na nimetoa mimi mzigo pale,yaani ukilipia kwenye bank hiyo nyaraka zake zimefanywa kuwa na nguvu kuliko bank nyingine ambazo hupelekwa kwanza hazina.Lakini wao ukilipia hakuna nyaraka kusubiri ziende hazina,una chukua mzigo moja kwa moja.Na taarifa nilizo nazo nasikia hiyo 'M' maana yake Mkapa bank.
Sasa kama ni kweli kwanini tusihusishe Mkapa kumtaka Magufuli awe Raisi ili kulinda ufisadi kama huo?.Halafu Mkapa mwenyewe ana kampeni kwa matusi kama kwa kupanic?
Hali hii inatia shaka kubwa juu ya uteuzi wa Magufuli kwamba anakwenda pale kulinda maslahi ya mafisadi.