nyerere alikua sahihi kabisa, ila kwa bahati mbaya sana watanzania hatukumuelewa, kama tungemuelewa si ajabu na sisi tungekua na maendeleo kama china au japan,
Hatujaendela sana kwa sababu Watanzania wengi ni SIMPLE minded. .
Hawawezi kufikiri mambo makubwa hiyo ndiyo shida. ..wengi wanapenda udaku na porojo.
Ukitaka kuthibitisha hilo .Hata mkikaa bar 90% ya mazungumzo mpira wa ulaya... unafikiri baada ya hapo tunapata nini. Mara chache siasa
Nyerer was ahead of time. ...sasa JPM naye ana maono kama ya mzee nyerer ...tunatumain anaweza kutusogeza