nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,638
- 20,248
kwaio uwekezaji wa manji cocobeach ni wa hovyo?
kwa hiyo akishaboresha watu watakuwa wanaogelea bure kama sasa?jibu kwanza
kwaio uwekezaji wa manji cocobeach ni wa hovyo?
assad siku hizi umepatwa na nini? ulikuwa mfuasi mzuri wa ccm na magufuli wake... leo vipi ndugu!!
Mkuu swala la beach huwezi kulilinganisha na mambo ya Nyerere miaka ya nyuma, Sio kila kitu utawapa investors kwa sababu tu wanataka, sehemu nyingine utaziacha public tu, sasa ku~privatize sehemu za free kama hizo mwisho wa siku utaenda utaambiwa ulipe mshiko wa juu kuwepo tu pale sijui utajisikiaje.
Na Magufuli alichoongea kua sometimes waangalie kuboresha na sehemu za nje ya miji kidogo, it was a good move, makampuni makubwa sana yakisema yanaanzishwa out of the city maana yake sio tu ongezeko la ajira ila social services zinasambaa kwa sababu kuna pesa kule pataanza kuangaliwa, jiji linazidi kupanuka vizuri bila kuleta inconveniences zozote kwa public.
Magufuli akifeli sitomlaumu, ni kazi kubwa sana kufix whats already broken, mimi nitawalaumu watanzania kwa kua hawako supportive kabisa. Kazi ya kujenga taifa sio ya Rais, Waziri mkuu na specie chache za bungeni peke yake, ni kazi ya kila mtu.
Swala ni mnyama. Pengine unamananisha suala
kwaio uwekezaji wa manji cocobeach ni wa hovyo?
acha kujicontadict, kwanini azuie uwekezaji cocobeach?
assad siku hizi umepatwa na nini? ulikuwa mfuasi mzuri wa ccm na magufuli wake... leo vipi ndugu!!
kwa hiyo akishaboresha watu watakuwa wanaogelea bure kama sasa?jibu kwanza
NYERERE ALIFELI VIBAYA SANA ECONOMICALLY INGAWA ALIFANIKIWA SOCIALLY.
MAREKANI NA WESTERN HUAMINI UKITAKA KUMTAWALA MTU MKONTROL ECONOMICALLY.
Magufuli nae anataka kumzuia Manji asiwekeze Coco Beach eti watu wa Mazenze wataogelea wapi? Uwekezaji huo ulikuwa haubadilishi matumizi ya public Bali kuboresha mazingira na yawe ya kuvutia.
Issue sio kuzuia uwekezaji bali mkataba na sheria nzuri za uwekezaji. Leo Meck Sadick nae kaogopa anamuomba Manji aache uwekezaji pale Coco Beach.
Hizi Sera za Nyerere si zilijifia kitambo kuzifufua na kujisumbua tu.
Argue,don't shout!
Ninachoweza kusema ni kwamba kuiongoza TZ ni kazi kubwa sana. Ni nchi ambayo imekuwa ikihujumiwa kiuchumia muda wote tangu uhuru hadi leo, miaka 54 baadaye. Kwa hivyo si rahisi kuijenga kwa kipindi kifupi. Magufuli anajaribu kuweka msingi mpya - ikiwa hatahujumiwa na matajiri na CCM wenzake, na kama wananchi tutamsaidia, kila mmoja alipo kwa nafasi yake - atafanikiwa, tutafanikiwa.
Mungu Ibariki Tanzania