Magufuli atashindwa kama Nyerere

Magufuli atashindwa kama Nyerere

NYERERE ALIFELI VIBAYA SANA ECONOMICALLY INGAWA ALIFANIKIWA SOCIALLY.
MAREKANI NA WESTERN HUAMINI UKITAKA KUMTAWALA MTU MKONTROL ECONOMICALLY.

sasa Nyerere alidai hataki wawekezaji kwa rasilimali zetu mpaka tupate uwezo wetu wenyewe. tungekaa kusikiliza mawazo hayo tungekaa miaka 1000 labda ndio technology tunngekua tumeipt pamoja na fedha.

hivyo 1992 iliamuliwa kuruhusu uwekezaji katka madini, gesi,elimu,afya,umeme,usafirishaji,viwanda,mawasiliano nk sasa iv kila MTU anasimu,TV vitu vidogo unavovisense where ur. je kusingekuwa na uwekezaji what do u think?.
magufuli nae anataka kumzuia manji asiwekeze cocobeach eti watu wa mazenze wataogelea wapi? uwekezaji huo ulikua haubadilishi matumizi ya public Bali kuboresha ;mazingira na yawe ya kuvutia. issue sio kuzuia uwekexaji Bali mkataba na sheria nzuri zs uwekezaji. Leo mek sadik nae kaogopa anamuomba manji aache uwekezaji pale cocobeach.

hizi Sera za nyerere si zilijifia kitambo kuzifufua na kujisumbua tu.

argue,don't shout!
tofautisha kati ya mwekezaji na mbabaishaji/dalali mtu anasaini mkataba kuwekeza kwa conditions fulani na timeframe fulani. yeye haheshimu conditions halafu mkataba unavunjwa bila kudaiwa demages zozote mahakamani. halafu yeye anashitaki kwa kuvunjwa mkataba anapewa demages shs 500 million. mtu ni dalali/speculator anashikilia eneo na kufanya hila kuchuna ngozi wananchi kwa kushirikiana na watendaji wala rushwa halafu anapewa hadhi ya muwekezaji. na sio kila kitu kinafaa kuendelezwa na watu binafsi vinginevyo tunaweza kujikuta nchi tunauzia wageni.
 
Uwekezaji wa ovyo ndio hautakiwi. Magufuli angekuwa hapendi wawekezaji asinge waita wafanya biashara kuongea nao vizur kama alivyo fanya majuzi.

Hatutaki vitu vya ovyo

kweli huyu magufuli atafeli kama anataka kuuwa shule za private.. Tunaanza kurudi kwenye ujamaa na ujima
 
Labda Mimi cjaelewa naninaomba kueleweshwa. Naona clip ya uendelezaje wa ufukwe wa oyster bay kuanzia mnara wa kuongoza meli mpaka sea cliff hotel nawanasema mradi huo unafanywa kwa kushirikiana na Halmashauri pamoja na TIB bank. Sijamskia Manji akitajwa au Co yake. Je yeye anasimamia wap?

Ndo jiulize kwa nini hatajwi tapeli yule
 
kweli huyu magufuli atafeli kama anataka kuuwa shule za private.. Tunaanza kurudi kwenye ujamaa na ujima

Private wamezidi, tunaregulate kama mafuta au nauli. Elimu ni hutaji la msingi sio hiari. Muda wakubembelezana umepita.
 
NYERERE ALIFELI VIBAYA SANA ECONOMICALLY INGAWA ALIFANIKIWA SOCIALLY.
MAREKANI NA WESTERN HUAMINI UKITAKA KUMTAWALA MTU MKONTROL ECONOMICALLY.

sasa Nyerere alidai hataki wawekezaji kwa rasilimali zetu mpaka tupate uwezo wetu wenyewe. tungekaa kusikiliza mawazo hayo tungekaa miaka 1000 labda ndio technology tunngekua tumeipt pamoja na fedha.

hivyo 1992 iliamuliwa kuruhusu uwekezaji katka madini, gesi,elimu,afya,umeme,usafirishaji,viwanda,mawasiliano nk sasa iv kila MTU anasimu,TV vitu vidogo unavovisense where ur. je kusingekuwa na uwekezaji what do u think?.
magufuli nae anataka kumzuia manji asiwekeze cocobeach eti watu wa mazenze wataogelea wapi? uwekezaji huo ulikua haubadilishi matumizi ya public Bali kuboresha ;mazingira na yawe ya kuvutia. issue sio kuzuia uwekexaji Bali mkataba na sheria nzuri zs uwekezaji. Leo mek sadik nae kaogopa anamuomba manji aache uwekezaji pale cocobeach.

hizi Sera za nyerere si zilijifia kitambo kuzifufua na kujisumbua tu.

argue,don't shout!

Uwekezaji upo popote pale duniani na ni kitu kizuri kwani husaidia kuchochea maendeleo na kuongeza nafasi za ajira. Kinacho katazwa ni uwekezaji usio fuata kanuni,taratibu na sheria.Hivi kipi kilianza MASTER PLAN AU MANJI?Pale kwa mujibu wa hiyo master plan pametengwa maalumu kwaajili ya watu kwenda kupumzika.kujenga hata sehemu za wazi ni ujinga

Kudhani Magufuli atashindwa unakosea kwani yeye anatekeleza sera za chama chake, kwahiyo ni bora ungesema chama cha Mapinduzi kitashindwa.AU NAWEWE NDIO WALEWALE WANAO SEMA HAWAKUMTUMA AFANYE YALE? MBONA MMEANZA KUISOMA NAMBA MAPEMA SANA? CCM bwana wanapenda sana mambo holela.
 
kwaio uwekezaji wa manji cocobeach ni wa hovyo?

Ndiyo ni wa hovyo kwa sababu coco beach ni public beach na Dunia nzima au nisema nchi zote zilizostaarabika public beach ni wa wote na haimilikiwa na watu binafsi!
 
Kwa hiyo unaamini kabisa uwekezaji wa Manji ungekuwa msaada kwa watoto wa Manzese pale wanapotaka kurefresh?! unajua kwa nn uwekezaji ktk madini umekuwa kama mkosi kwa wakaz wa maeneo yalipo machimbo? inaonekana akilini mwako umejaza starehe za kufadhiliwa.
 
Labda wewe unalifanya hili swala personal issue tatizo sio investment isipokuwa other social cost; kwa tafsiri ya alichokisema uwekezaji wa Manji unaendaa kuwanyan'ganya wana Dar-Es-Salaam wengi a recreation area wa kipato cha chini kwa sababu aitokua accessible to everyone kama ilivyo sasa ndio hoja ya kuzuia investment.

Watu wengi coco beach imekuwa sehemu ya kwenda kutoa mawazo ya maisha, kufurahi kwa namna mbali mbali, sherehe za sanaa zinafanyika hapo; sasa akichukua Manji hizo previledge jamii itazikosa na ndio kinachopingwa sio personal issue na Manji.

Sasa kufananisha hoja za nyerere na sakata la Manji ni vitu viwili tofauti isitoshe sidhani kama unajua impact ya mazoeaa ukishamkaribisha mzungu kwa mikataba ya kijinga usidhani Syria, Iraq, Iran, Libya kasheshe zao ni viongozi tu wanaoitwa madikteta. Hizo nchi zina milolongo ya muda mrefu sana kisa viongozi wao wa awali walifanya makosa ya mikataba kwenye kufanya biashara na wazngu ndio maana Nyerere naona akasema ngoja kwanza wapate akili hawa jamaa waamue kwa sasa tutulie sio hawa wa leo tamaa tu.
 
kwaio uwekezaji wa manji cocobeach ni wa hovyo?

Sema kwahiyo. sasa naanza kujua kwanini unaweweseka baada ya mkwere kumaliza muda wake. mlizoea kuvuna msipo panda. ushauri wangu kwako ni kwamba ni bora urudi darasani ukosome ili upate kazi nzuri siyo ile mlio kuwa mnalipwa book 7. kumbe namba mnaisoma wenyewe ccm!!!
 
mim nasema ntarara naye mberee; Rais J. POMBE
 
Umeamua kumfungulia uzi kila siku

Kweli umeguswa pabaya na hapa kazi tu

Pole yako

Weye mshabiki wake ila unaumia pesa za wananchi hamzipati tena.

Endelea kuwa shabiki wake

Jamaa anamchukia magufuli kinoma.
Anatamani kila siku jamaa afeli.
Ili aanze tena promo za mamvi.
 
Kama Dr Magufuli atafeli,basi atafeli kwasababu ya system iliyopitwa na wakati na yenye ufanisi mdogo sana.Nijuavyo CCM wanafuata itikadi ya ujamaa japo on the ground it looks the other way round.Kusema kweli CCM wananichanganya sana,wanasema wao ni wajamaa lkn karibu viongozi wao wengi ni mabilionea,chama kina makada mabilionea na mamilionea,Sera zake za kifedha ni za kuwavutia zaidi wawekezaji hasa wa nje. Lakini wanaibana mno sekta binafsi, wakati mwingine huwaingila sekta binafsi na kuwaambia nini cha kufanya,hii si ishara njema kwa serikali inayojinasibu kufuata sera za kibepari.Kwa mtazamo wangu serikali huwa si nzuri ktk kufanya biashara sababu kubwa ikiwa kuingiza itikadi ktk masuala yanayihitaji maamuzi ya kitaalamu.Sekta binafsi ni muhimu ktk Ku_drive innovation ambayo huzaa technology za kisasa.
 
Uwekezaji wa ovyo ndio hautakiwi. Magufuli angekuwa hapendi wawekezaji asinge waita wafanya biashara kuongea nao vizur kama alivyo fanya majuzi.

Hatutaki vitu vya ovyo

kwaio uwekezaji wa manji cocobeach ni wa hovyo?

JPM alikuwa wazi sana. Kama hukumwelewa ni tatizo lako.
Kinachotakiwa ni uwekezaji wa halali,
Unaofata sheria na kulipa kodi za serikali. Uwekezaji usiowabagua wazawa bali unaowashirikisha.
Na sio "kuwabania ndugu zetu wa manzese eneo lao la kujidai"..
JPM hakumtaja hata Manji kwenye ile hotuba yake ila ilikuwa wazi anayewekeza aliharibu na alikuwa anajulikana kaharibu wapi. Vile vicheko vya wafanyabiashara havikuwa vya bure.
 
Uwekezaji uliopita ni mojawapo ya kero zilizowafanya wananchi watake mabadiliko. Hivi hamkujua kama mtaguswa hadi moyoni? Sasa Uwekezaji unafanyiwa review hapo ni introduction tu chapters bado wewe umeshaanza kuweweseka. Tulia subiri table of contents imwagwe walau usome executive summary ndiyo ulete upya uzi wako. Kwa heri.

acha kujicontadict, kwanini azuie uwekezaji cocobeach?

Kwanini utumie kiingereza wakati hukijui? sema contradict ! kila ukitumia neno la kiingereza unakosea achana nacho.wapambe wa mkwere bwana hadi huruma. mbona mmeanza kuweweseka mapema hivi?
 
Jamaa anamchukia magufuli kinoma.
Anatamani kila siku jamaa afeli.
Ili aanze tena promo za mamvi.

Mimi simchukii magufuli as a person Bali kukurupuka kwake hatuezi kwenda nae sawa
 
acha kujicontadict, kwanini azuie uwekezaji cocobeach?

Hakuzuia uwekezaji, alizuia kutokufuatwa kwa sheria za uwekezaji na kutokulipa cha kaizari.
Utakuwa ushatumbuliwa jipu wewe sio bure.
 
Magufuli selema selema...
Mungu akulinde Mh Rais.
Tunapaswa kumpa kila aina ya sapoti Mh Rais..
Angalia kwa kipindi kifupi tu cha siku 30 za mwanzo ameshaokoa 1Bil (Mwananchi la jana)
Kipindi kama hiki mwaka 2005, JK alikuwa ameshapuyanga USA karibia na robo ya Europe..
 
Waliokuwa wanapenda mteremko sasa wanaumbuka, kuna vijitu vilikuwa mtaani vinajifanya vitapewa vyeo vya bure sasa dalili hazipo kabisaaa, tenda zimekatwa, safar za nje zimeyeyuka, matamasha yamezikwa rasmi, ukuu wa wilaya na ukurugenzi raman haisomeki kabisaa, wizara zitapungua, hakuna kununua magar mapya(v8) na yaliyopo marufuku kutumika kwenye shughul binafsi, ten percent ni ndoto tena...majipu ni mengi sana kwahiyo msishangae kuwaona wagonjwa wakiweweseka kila siku
 
Back
Top Bottom