Ni wa hovyo sana maana ukiangalia anachotaka kufanya mwisho hilo eneo itabidi watu walipe ndio waruhusiwe kuogelea hiyo itawazuia watu wakwaio uwekezaji wa manji cocobeach ni wa hovyo?
hali ya chini washindwe kwenda cocobeach
Ni wa hovyo sana maana ukiangalia anachotaka kufanya mwisho hilo eneo itabidi watu walipe ndio waruhusiwe kuogelea hiyo itawazuia watu wakwaio uwekezaji wa manji cocobeach ni wa hovyo?
Nilichojifunza hii nchi unaweza kua na sapoti ya wanachi nado ukahujumiwa.Walewale wezi na wakwepaji kodi wakubwa wanaomba Magufuli ashindwe, Magufuli ana support ya wananchi safari hii mtaisoma Namba Manji ameambiwa beach zipo nyingi aende eneo lingine lakini cocobeach aiache kama alivyo shida iko wapi? Mmezoea kupora maeneo ya public tuachieni raisi wetu
Nyerere alijenga nchi na kusomesha kila alieenda shule kwa kodi ya sigara na pombe.Sijui kama tutarudi huko.Acha kupotosha uma,ujamaa wa Tanzania wa nyerere ulikuwa umekwenda mbali coz viwanda vilikuwa vingi kuliko sasa,kilimo mazao yalikuwa yanspatikana kwa wingi kuliko sasa na elimu ilikuwa safi.Hatuwezi kuruhusu MTU kuwekeza Eneo la wazi.Afate sheria acha kujipofosha macho na akili kiss Tamaa zako.Magufuli Sie tunamwelewa sana tu
kwaio uwekezaji wa manji cocobeach ni wa hovyo?
NYERERE ALIFELI VIBAYA SANA ECONOMICALLY INGAWA ALIFANIKIWA SOCIALLY.
MAREKANI NA WESTERN HUAMINI UKITAKA KUMTAWALA MTU MKONTROL ECONOMICALLY.
sasa Nyerere alidai hataki wawekezaji kwa rasilimali zetu mpaka tupate uwezo wetu wenyewe. tungekaa kusikiliza mawazo hayo tungekaa miaka 1000 labda ndio technology tunngekua tumeipt pamoja na fedha.
hivyo 1992 iliamuliwa kuruhusu uwekezaji katka madini, gesi,elimu,afya,umeme,usafirishaji,viwanda,mawasiliano nk sasa iv kila MTU anasimu,TV vitu vidogo unavovisense where ur. je kusingekuwa na uwekezaji what do u think?.
magufuli nae anataka kumzuia manji asiwekeze cocobeach eti watu wa mazenze wataogelea wapi? uwekezaji huo ulikua haubadilishi matumizi ya public Bali kuboresha ;mazingira na yawe ya kuvutia. issue sio kuzuia uwekexaji Bali mkataba na sheria nzuri zs uwekezaji. Leo mek sadik nae kaogopa anamuomba manji aache uwekezaji pale cocobeach.
hizi Sera za nyerere si zilijifia kitambo kuzifufua na kujisumbua tu.
argue,don't shout!
Khaa!! Huyu assadsyria3 atakuwa na majipu tu :mvutaji:aliomba umuombee afaulu, mbona unamuombea kushindwa
acha kujicontadict, kwanini azuie uwekezaji cocobeach?
Bora ukawa mwasilika Wa ukimwi kuliko Magufulifordia. Pole Sana, lkn hamna namna lazima uisome namba na utumbuliwe jipu.NYERERE ALIFELI VIBAYA SANA ECONOMICALLY INGAWA ALIFANIKIWA SOCIALLY.
MAREKANI NA WESTERN HUAMINI UKITAKA KUMTAWALA MTU MKONTROL ECONOMICALLY.
sasa Nyerere alidai hataki wawekezaji kwa rasilimali zetu mpaka tupate uwezo wetu wenyewe. tungekaa kusikiliza mawazo hayo tungekaa miaka 1000 labda ndio technology tunngekua tumeipt pamoja na fedha.
hivyo 1992 iliamuliwa kuruhusu uwekezaji katka madini, gesi,elimu,afya,umeme,usafirishaji,viwanda,mawasiliano nk sasa iv kila MTU anasimu,TV vitu vidogo unavovisense where ur. je kusingekuwa na uwekezaji what do u think?.
magufuli nae anataka kumzuia manji asiwekeze cocobeach eti watu wa mazenze wataogelea wapi? uwekezaji huo ulikua haubadilishi matumizi ya public Bali kuboresha ;mazingira na yawe ya kuvutia. issue sio kuzuia uwekexaji Bali mkataba na sheria nzuri zs uwekezaji. Leo mek sadik nae kaogopa anamuomba manji aache uwekezaji pale cocobeach.
hizi Sera za nyerere si zilijifia kitambo kuzifufua na kujisumbua tu.
argue,don't shout!
NYERERE ALIFELI VIBAYA SANA ECONOMICALLY INGAWA ALIFANIKIWA SOCIALLY.
MAREKANI NA WESTERN HUAMINI UKITAKA KUMTAWALA MTU MKONTROL ECONOMICALLY.
sasa Nyerere alidai hataki wawekezaji kwa rasilimali zetu mpaka tupate uwezo wetu wenyewe. tungekaa kusikiliza mawazo hayo tungekaa miaka 1000 labda ndio technology tunngekua tumeipt pamoja na fedha.
hivyo 1992 iliamuliwa kuruhusu uwekezaji katka madini, gesi,elimu,afya,umeme,usafirishaji,viwanda,mawasiliano nk sasa iv kila MTU anasimu,TV vitu vidogo unavovisense where ur. je kusingekuwa na uwekezaji what do u think?.
magufuli nae anataka kumzuia manji asiwekeze cocobeach eti watu wa mazenze wataogelea wapi? uwekezaji huo ulikua haubadilishi matumizi ya public Bali kuboresha ;mazingira na yawe ya kuvutia. issue sio kuzuia uwekexaji Bali mkataba na sheria nzuri zs uwekezaji. Leo mek sadik nae kaogopa anamuomba manji aache uwekezaji pale cocobeach.
hizi Sera za nyerere si zilijifia kitambo kuzifufua na kujisumbua tu.
argue,don't shout!
kwaio uwekezaji wa manji cocobeach ni wa hovyo?
Mikataba iliyokuwa inaingiwa na wawekezaji na serikali mingi ilikuwa shaghala bagala. Madudu matupu
Sijafuatilia hyo ya koko beach
Lakini unaweza kuta ndo yale yale. Beach itakuwa ya watu wachache tu. Wengine wengi wakaogelee kwenye mabafu yao. Sasa hta kuogelea utatakiwa uwe tajiri
Rais magufuli hawezi kutokupenda vitu vizuri kwa watu wake
NYERERE ALIFELI VIBAYA SANA ECONOMICALLY INGAWA ALIFANIKIWA SOCIALLY.
MAREKANI NA WESTERN HUAMINI UKITAKA KUMTAWALA MTU MKONTROL ECONOMICALLY.
sasa Nyerere alidai hataki wawekezaji kwa rasilimali zetu mpaka tupate uwezo wetu wenyewe. tungekaa kusikiliza mawazo hayo tungekaa miaka 1000 labda ndio technology tunngekua tumeipt pamoja na fedha.
hivyo 1992 iliamuliwa kuruhusu uwekezaji katka madini, gesi,elimu,afya,umeme,usafirishaji,viwanda,mawasiliano nk sasa iv kila MTU anasimu,TV vitu vidogo unavovisense where ur. je kusingekuwa na uwekezaji what do u think?.
magufuli nae anataka kumzuia manji asiwekeze cocobeach eti watu wa mazenze wataogelea wapi? uwekezaji huo ulikua haubadilishi matumizi ya public Bali kuboresha ;mazingira na yawe ya kuvutia. issue sio kuzuia uwekexaji Bali mkataba na sheria nzuri zs uwekezaji. Leo mek sadik nae kaogopa anamuomba manji aache uwekezaji pale cocobeach.
hizi Sera za nyerere si zilijifia kitambo kuzifufua na kujisumbua tu.
argue,don't shout!
Kama ujamaa wa Nyerere ungefanikiwa tungekuwa taifa pekee Afrika la watu weusi tu linalojitegemea na lililoendelea.Ule ulikuwa ujamaa uliobeba nia njema kwa Tanzania.Sasa hivi hakuna hata hatua moja inayopigwa kuurudia zaidi ya kuingia mikataba inayotufanya watumwa kila siku.