USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
MGOMBEA urais wa CCM leo ametua katika wilaya ya TARIME na kukutana na dhahama ya wagombea wake wa UBUNGE kuzomewa ovyo katika majimbo yote mawili jimbo la TARIME VIJIJINI analogombea ndugu CHRISTOPHER RYOBA KANGOYE hali ilikuwa si shwari baada ya kangoye kuzomewa na watu kuimba kuwa hauziki...hauziki.... kitendo kilichosababisha magufuli kuuliza wananchi kuwa amewafanyeje jamani miaka yote hammusamehi
Duru zinaonesha
Mkakati wa matajiri wengi wasiopendeka kuwa nyuma ya ndugu kangoye
kama ndugu gachuma,na zakaria ni sababu zake kuchukiwa amesema mwanatarime mmoja mwita marwa wa nyamongo
pia kuwepo na mpango wa kupora bonde la mto mara nayo ni sababu nyingine ya kuwakera wananchi
tatu ni ubinafsi wake kutoka eneo alilozaliwa
nne kuaminika kama mhusika wa uchochezi vita za koo
tano ni kukoswa msimamo katika kuwatetea wananchi tofauti na kijana wa CHADEMA NDG john heche anayeonekana kuwa mstari wa mbele kuwapambania wananchi
TARIME MJINI
Mgombea wa CCM ndg KEMBAKI naye amezomewa vibaya na kusababisha magufuli kushindwa kumnadi
hali hii imesababisha magufuli kutumia muda mchache sana na kuondoka na hata kukoswa mkutano wa kuvutia
Repota wangu yuko eneo la tukio akileta habari
Duru zinaonesha
Mkakati wa matajiri wengi wasiopendeka kuwa nyuma ya ndugu kangoye
kama ndugu gachuma,na zakaria ni sababu zake kuchukiwa amesema mwanatarime mmoja mwita marwa wa nyamongo
pia kuwepo na mpango wa kupora bonde la mto mara nayo ni sababu nyingine ya kuwakera wananchi
tatu ni ubinafsi wake kutoka eneo alilozaliwa
nne kuaminika kama mhusika wa uchochezi vita za koo
tano ni kukoswa msimamo katika kuwatetea wananchi tofauti na kijana wa CHADEMA NDG john heche anayeonekana kuwa mstari wa mbele kuwapambania wananchi
TARIME MJINI
Mgombea wa CCM ndg KEMBAKI naye amezomewa vibaya na kusababisha magufuli kushindwa kumnadi
hali hii imesababisha magufuli kutumia muda mchache sana na kuondoka na hata kukoswa mkutano wa kuvutia
Repota wangu yuko eneo la tukio akileta habari