Magufuli ashindwa kuhutubia Misungwi

Magufuli ashindwa kuhutubia Misungwi

kama alihutubia basi ni video ya jimbo jingine lakini sio hili la misungwi
Wewe shost ni mtu mmoja muongo sana. Hii sio mara ya kwanza unakurupuka na huo uongo wako. Ndio maana una uso ka shetani.
 
Leo mgombea wa ccm Dr Magufuli hakuhutubia jukwaan katika jimbo la misungwi zaidi ya kelele za wasanii.

Magufuli alifika na kupanda jukwaani lakini alipokuwa anatumbuiza fid Q tulishangaa kasimama na kuondoka bila hata kusalimia.

Jambo hili lilisababisha watu wazomee, na hata alipokuwa anaimba fid Q alizomewa pia na kundi la watu nyuma.

Sababu nilisikia kwa mbali kwani nilikuwa nyuma kwamba sijui anawahi kwenda wapi hukoo
Usiwe muongo ndugu nlikuwepo mkitanoni Dr. JPM amehutubia tena sana tuuu! Kwa kweli hata kama hatuipendi ccm lakini tunamkubali JPM .
 
Bavicha mna vituko!

Mnalazimisha uwongo kwa kutumia nguvu za kipumbavu!

You are trying to insult wananchi intelligence!

Mkutano wa Magufuli aliofanya Misungwi ulikuwa live kwenye Star TV.
 
waliopo Misungwi, Mwanza; wanasema ndivyo ilivyo kua kama asemavyo shost
 
Last edited by a moderator:
Leo mgombea wa ccm Dr Magufuli hakuhutubia jukwaan katika jimbo la misungwi zaidi ya kelele za wasanii.

Magufuli alifika na kupanda jukwaani lakini alipokuwa anatumbuiza fid Q tulishangaa kasimama na kuondoka bila hata kusalimia.

Jambo hili lilisababisha watu wazomee, na hata alipokuwa anaimba fid Q alizomewa pia na kundi la watu nyuma.

Sababu nilisikia kwa mbali kwani nilikuwa nyuma kwamba sijui anawahi kwenda wapi hukoo

Ndo maana mtoto wa kike ataendelea kuwa wa kike tu,Mnajirudisha nyuma sana. Nimekudharau kuanzaia leo ..sitasoma na wala sitaelewa tena mabandiko yako humu ndani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom