Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,224
- 6,356
Rais John Pombe Magufuli amekuja na utaratibu wake wa ku relax na wageni ikulu baada ya shughuli za kisiasa zilizomleta ambapo yeye na mgeni wake hupigiana ngoma, hayo yameshuhudiwa jana baada ya waziri mkuu wa India kuja nchini ambapo rais Magufuli baada maongezi kilichofanyika ikulu ilikuwa ni kupigiana ngoma
Huu ni ukarimu, anamkaribisha muwekezaji. Kiboko hii hapa chini, mtu anakimbia nchi yake kwenda kubembea nchi za watu wakati Ikulu ina bembea pia, utoto bwana kweli raha yaani mpaka ukubwani.