Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Chato kuna upepo au harufu ya shombo ya samaki?Kapigwa 100 kakopa 300 na zitalipwa na sisi mbulula kuanzia 2026 yeye atakuwa amestaaf huku akila upepo wa chato.
Chato kuna upepo au harufu ya shombo ya samaki?Kapigwa 100 kakopa 300 na zitalipwa na sisi mbulula kuanzia 2026 yeye atakuwa amestaaf huku akila upepo wa chato.
Zake.Kwani???Asipigwe yy nani
Mfano magaApigwe tu maana hakuna namna, na mimi nasema apigwe tu
Where there are many people you can not stop stealing instead you can only controlIn every action there is a reaction.
Wewe ukijua huu, wenzio wanajua ule
What?Apigwe tu maana hakuna namna, na mimi nasema apigwe tu
Nani huyo mkuu funguka basi tujueKuna mmoja kapiga mabilion huko sigara afe na watu wa Shisha..ndo maana anakua mkali kama mbogo
Nani huyo mkuu funguka basi tujue
Hela za kubrush viatu.nadhani anapigwa zaidi ya hizo, watu wamefungua mirija sehemu nyingine
Siku inaelekea mwendo wa kukomoana unakolea kwa kwasi sanaUkisoma maoni humu utajua ujuha wa baadhi. Wanashangilia kuibiwa "pesa zao wenyewe! " Elimu ya uraia inahitajika
Apigwe tu maana hakuna namna, na mimi nasema apigwe tu
teh teh teh eeee... kaazi kweli kweliHela za kubrush viatu.
Mkuu napata wasiwasi wa uraia au uzalendo wa wachangiaji.Labda kafunga au kakata mirija yao.Ukisoma maoni humu utajua ujuha wa baadhi. Wanashangilia kuibiwa "pesa zao wenyewe! " Elimu ya uraia inahitajika
Mpaka afike huko kooote kwani anamkataba na the Almighty?Kapigwa 100 kakopa 300 na zitalipwa na sisi mbulula kuanzia 2026 yeye atakuwa amestaaf huku akila upepo wa chato.
ha ha ha.... ni kweli MKWEPA KODI na hii ndo kazi mliobaki nayo. kutetea wezi na wabadhilifu wa mali za umma.Apigwe tu maana hakuna namna, na mimi nasema apigwe tu