Magufuli 'apigwa' Bilioni 100

Magufuli 'apigwa' Bilioni 100

Ndugu zangu

wakati mwingine nashindwa kuwaelewa watanzania wenzangu
Hivi vita dhidi ya ufisadi nk ni vyetu sote kwa faida yetu wote.
Sasa tunaposema Ndugu Rais kapigwa nk sii ni ujuha uliopitiliza ? Hasara ni ya nani ? Mtu kajitolea watu wanaleta ujuha. Inakera sana hii

Ndugu zangu, tubadilike. Hii nchi ni yetu, faida/hasara ni yetu.

Respect !!!
 
Jim nashangaa sana unaposema mgufuli kapigwa,sema watanzania tumepigwa au we we sio mtz mini?
 
cc41b009a0617965c282a8bbac3f40eb.jpg
81cd8ddabc5bc1ecda9f861a5295efbd.jpg
 
Kizazi cha sasa kimejengwa kwa misingi ya kisiasa, hivyo kwao kila kitu siasa yaani mtu anafurahi kodi yake kuibiwa.!
 
Ndugu zangu

wakati mwingine nashindwa kuwaelewa watanzania wenzangu
Hivi vita dhidi ya ufisadi nk ni vyetu sote kwa faida yetu wote.
Sasa tunaposema Ndugu Rais kapigwa nk sii ni ujuha uliopitiliza ? Hasara ni ya nani ? Mtu kajitolea watu wanaleta ujuha. Inakera sana hii

Ndugu zangu, tubadilike. Hii nchi ni yetu, faida/hasara ni yetu.

Respect !!!
Kajitolea kufanya nini mkuu na mimi nijitolee kama yeye
 
Back
Top Bottom