mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,296
- 13,740
Labda mzinga wa konyagi!!! Adai Nini zaidi ya fujo zake za ulevi?Mbowe alikua anadai nini kwa nani mpaka polisi wakamuua Akwelina kwa risasi??
Labda mzinga wa konyagi!!! Adai Nini zaidi ya fujo zake za ulevi?Mbowe alikua anadai nini kwa nani mpaka polisi wakamuua Akwelina kwa risasi??
Kanywe konyagi upunguze stress ewe mfuasi wa shetani
Hapa sasa tayari umepanic baada kukosa hoja.Labda mzinga wa konyagi!!! Adai Nini zaidi ya fujo zake za ulevi?
Leo mataga upo shift ya mchana?Lawama zote anazo mbowe
Membe ana haki kabisa kabisa kabisa ya kugombea Urais ndani ya CCM. Analindwa na Katiba na si utamaduni au huo utaratibu wenu fake, kwanini basi asiruhusiwe kuchukua fomu akajipime na Rais ili KUNOGESHA mchakato?Acheni hofu kila mtu avune alichopanda
Magufuli alipanda maendeleo kwa Watanzania ni muda wa kuvuna
Chadema ilipanda kuwatetea Wazungu watuibie raslimali zetu ni muda wa kuvuna mlichopanda
Hapanic mtuHapa sasa tayari umepanic baada kukosa hoja.
Pole mamaLeo mataga upo shift ya mchana?
Kwani mkuu hao wazungu walipataje hiyo migodi ,walivamia au walipewa na serikali ya chama pendwa?Umesshau lissu alikuwa anawatetea Wazungu watuibie madini kwa kuwa alikuwa analipwa na Wazungu
Awezi kukjibu...amini nakwambia...ataleta porojo...Kwani mkuu hao wazungu walipataje hiyo migodi ,walivamia au walipewa na serikali ya chama pendwa?
Ni serikali ya chama gani waliongia nayo mkataba kwa mara kwanza hadi nchi kuambulia patupu?
Tuache kujitoa ufahamu.
Kwani mkuu hao wazungu walipataje hiyo migodi ,walivamia au walipewa na serikali ya chama pendwa?
Ni serikali ya chama gani waliongia nayo mkataba kwa mara kwanza hadi nchi kuambulia patupu?
Tuache kujitoa ufahamu.
Lakini CCM haiwezi kukwepa upuuzi na hujuma ya kuuza madini yetu kwa maslahi binafsi.Tena karibu migodi yote.Je kwa miaka zaidi ya 20 tuliopata hasara ya kujitakia ni Raisi gani au waziri mkuu gani wamefunguliwa mashtaka ya kuhujumu uchumi?Je nani atalipa hasara hiyo?Ndio hivyo Magufuli alikuwa anasaini mikataba upya kurekebisha mapungufu majizi kina kina lissu wakawa wanatetea Wazungu
Jibu Hoja punguani wewe, anapendwa mbona anaishi Kama nyoka?Acheni hofu kila mtu avune alichopanda
Magufuli alipanda maendeleo kwa Watanzania ni muda wa kuvuna
Chadema ilipanda kuwatetea Wazungu watuibie raslimali zetu ni muda wa kuvuna mlichopanda
Wewe unatumia jina Original?Upo tayafi liwalo na liwe huku unatumia JINA BANDIA JF Unaleta hadithi ya Mange Kimambi cha kuhimiza kuandamana huku yeye yupo USA
mm nawaza mkuu akifariki ghafla chama kimetawanyika vipande vipandeUnapendwa hutaki uchaguzi huru? Unapendwa hautaki media ziwe huru? Unapendwa hautaki tume huru ya uchaguzi? Eti unapendwa hata kukosolewa hutaki unashinda kuwaita watu wanatumika na mabeberu! ona sasa kupendwa kwako umechapisha form moja ya kugombea urais.
Kama tu ndani ya chama haukubaliki unauweza mziki wa nje ya chama hofu ya nini mzee umefanya siasa mwenyewe miaka 5 hofu ya nini?
halafu mtu umejenga madaraja hofu ya nini mzee baba mi naamini kama kweli kwa dhati umefanya makubwa ungeruhusu uchaguzi huru kuanzia kwenye chama chako mpaka kumuhakikishia ulinzi Tundu Lissu ili alejee umubwage.
Mwaka huu ujipange sana wape salamu wasimamizi wa uchaguzi kwenye vituo, wakurugenzi na wote wanaotaka kuvuruga uchaguzi tutaenda jino kwa jino mpaka kieleweke na ndio mwaka ambao unaleta somo kwamba udicteta hauwezi kufanya kazi nchini mwetu wengine tupo tayari kwenda jera kwa miaka 5 ila kuacha soma la umuhimu wa haki na uchaguzi ulio wazi.