Magufuli anapendwa sana!

Magufuli anapendwa sana!

Acheni hofu kila mtu avune alichopanda

Magufuli alipanda maendeleo kwa Watanzania ni muda wa kuvuna

Chadema ilipanda kuwatetea Wazungu watuibie raslimali zetu ni muda wa kuvuna mlichopanda
Ile mikataba ya madini kule bungeni ilikua ikipitishwa na chadema kua na akili mda mwengine
 
Kuna ufala nilitaka kuandika ila nimehairisha mpaka uchaguzi upite
 
Unapendwa hutaki uchaguzi huru? Unapendwa hautaki media ziwe huru? Unapendwa hautaki tume huru ya uchaguzi? Eti unapendwa hata kukosolewa hutaki unashinda kuwaita watu wanatumika na mabeberu! ona sasa kupendwa kwako umechapisha form moja ya kugombea urais.

Kama tu ndani ya chama haukubaliki unauweza mziki wa nje ya chama hofu ya nini mzee umefanya siasa mwenyewe miaka 5 hofu ya nini?

halafu mtu umejenga madaraja hofu ya nini mzee baba mi naamini kama kweli kwa dhati umefanya makubwa ungeruhusu uchaguzi huru kuanzia kwenye chama chako mpaka kumuhakikishia ulinzi Tundu Lissu ili alejee umubwage.

Mwaka huu ujipange sana wape salamu wasimamizi wa uchaguzi kwenye vituo, wakurugenzi na wote wanaotaka kuvuruga uchaguzi tutaenda jino kwa jino mpaka kieleweke na ndio mwaka ambao unaleta somo kwamba udicteta hauwezi kufanya kazi nchini mwetu wengine tupo tayari kwenda jera kwa miaka 5 ila kuacha soma la umuhimu wa haki na uchaguzi ulio wazi.
Count me in kwenye harakati zozote za kuitoa ccm madarakani kwa nguvu
 
Upo tayafi liwalo na liwe huku unatumia JINA BANDIA JF Unaleta hadithi ya Mange Kimambi cha kuhimiza kuandamana huku yeye yupo USA

Basi roho inakuuma mtoa mada anavyotumia jina la bandia!!! Unatamani kama angekua anatumia jina kamili vile ili muanze kumvizia na kumteka, halafu baadae mumuue au kumbambikia kesi ya madawa ya kulevya au uhujumu uchumi!
 
Miaka5 ya Magufuli Hakuna nyongeza ya mshahara. Hakuna ajira mpya na hana maarifa ya kuwa kwamua waliomaza vyuo kupata kazi. Ampishe tu Membe.
 
Acheni hofu kila mtu avune alichopanda

Magufuli alipanda maendeleo kwa Watanzania ni muda wa kuvuna

Chadema ilipanda kuwatetea Wazungu watuibie raslimali zetu ni muda wa kuvuna mlichopanda
Mtu anakimbia na mpira kwapani eti nae anajiita mchezaji,mchezaji gani anaogopa kukabwa?
Ushetani wenu hauwezi kudumu lazima ufe
 
Unapendwa hutaki uchaguzi huru? Unapendwa hautaki media ziwe huru? Unapendwa hautaki tume huru ya uchaguzi? Eti unapendwa hata kukosolewa hutaki unashinda kuwaita watu wanatumika na mabeberu! ona sasa kupendwa kwako umechapisha form moja ya kugombea urais.

Kama tu ndani ya chama haukubaliki unauweza mziki wa nje ya chama hofu ya nini mzee umefanya siasa mwenyewe miaka 5 hofu ya nini?

halafu mtu umejenga madaraja hofu ya nini mzee baba mi naamini kama kweli kwa dhati umefanya makubwa ungeruhusu uchaguzi huru kuanzia kwenye chama chako mpaka kumuhakikishia ulinzi Tundu Lissu ili alejee umubwage.

Mwaka huu ujipange sana wape salamu wasimamizi wa uchaguzi kwenye vituo, wakurugenzi na wote wanaotaka kuvuruga uchaguzi tutaenda jino kwa jino mpaka kieleweke na ndio mwaka ambao unaleta somo kwamba udicteta hauwezi kufanya kazi nchini mwetu wengine tupo tayari kwenda jera kwa miaka 5 ila kuacha soma la umuhimu wa haki na uchaguzi ulio wazi.
Sometimes you amuse me. Full of shit.
 
Acheni hofu kila mtu avune alichopanda

Magufuli alipanda maendeleo kwa Watanzania ni muda wa kuvuna

Chadema ilipanda kuwatetea Wazungu watuibie raslimali zetu ni muda wa kuvuna mlichopanda
Mmhhh kichekesho kweli hivi anaependwa angeogopa tume huru,anaependwa angezuia wenzake wasifanye mikutano kama yeye
 
Back
Top Bottom