pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,030
- 15,232
kadi moja kwa mgombea uraisi wa ccm!
hakuna tume huru!
Kwa 100% hakuna uchaguzi huru kabisa na sahauni.
hakuna tume huru!
Kwa 100% hakuna uchaguzi huru kabisa na sahauni.
Kama tume ni huru kwanini Akwelina alipigwa risasi?Tume ya Uchaguzi ni huru
Ile mikataba ya madini kule bungeni ilikua ikipitishwa na chadema kua na akili mda mwengineAcheni hofu kila mtu avune alichopanda
Magufuli alipanda maendeleo kwa Watanzania ni muda wa kuvuna
Chadema ilipanda kuwatetea Wazungu watuibie raslimali zetu ni muda wa kuvuna mlichopanda
Ile mikataba ya madini kule bungeni ilikua ikipitishwa na chadema kua na akili mda mwengine
Kama tume ni huru kwanini Akwelina alipigwa risasi?
wewe tuliaUpo tayafi liwalo na liwe huku unatumia JINA BANDIA JF Unaleta hadithi ya Mange Kimambi cha kuhimiza kuandamana huku yeye yupo USA
Hivi watu wakiamua liwalo na liwe hakuna polisi wala jeshi linaweza kuzuia...Libya,Sudan nkAlafu TPDF wakajazwa mtaani kuzuia maandamano!.
Count me in kwenye harakati zozote za kuitoa ccm madarakani kwa nguvuUnapendwa hutaki uchaguzi huru? Unapendwa hautaki media ziwe huru? Unapendwa hautaki tume huru ya uchaguzi? Eti unapendwa hata kukosolewa hutaki unashinda kuwaita watu wanatumika na mabeberu! ona sasa kupendwa kwako umechapisha form moja ya kugombea urais.
Kama tu ndani ya chama haukubaliki unauweza mziki wa nje ya chama hofu ya nini mzee umefanya siasa mwenyewe miaka 5 hofu ya nini?
halafu mtu umejenga madaraja hofu ya nini mzee baba mi naamini kama kweli kwa dhati umefanya makubwa ungeruhusu uchaguzi huru kuanzia kwenye chama chako mpaka kumuhakikishia ulinzi Tundu Lissu ili alejee umubwage.
Mwaka huu ujipange sana wape salamu wasimamizi wa uchaguzi kwenye vituo, wakurugenzi na wote wanaotaka kuvuruga uchaguzi tutaenda jino kwa jino mpaka kieleweke na ndio mwaka ambao unaleta somo kwamba udicteta hauwezi kufanya kazi nchini mwetu wengine tupo tayari kwenda jera kwa miaka 5 ila kuacha soma la umuhimu wa haki na uchaguzi ulio wazi.
Upo tayafi liwalo na liwe huku unatumia JINA BANDIA JF Unaleta hadithi ya Mange Kimambi cha kuhimiza kuandamana huku yeye yupo USA
Mbowe alikua anadai nini kwa nani mpaka polisi wakamuua Akwelina kwa risasi??Aliyesababisha ni Mbowe kiongozi
Mtu anakimbia na mpira kwapani eti nae anajiita mchezaji,mchezaji gani anaogopa kukabwa?Acheni hofu kila mtu avune alichopanda
Magufuli alipanda maendeleo kwa Watanzania ni muda wa kuvuna
Chadema ilipanda kuwatetea Wazungu watuibie raslimali zetu ni muda wa kuvuna mlichopanda
Sometimes you amuse me. Full of shit.Unapendwa hutaki uchaguzi huru? Unapendwa hautaki media ziwe huru? Unapendwa hautaki tume huru ya uchaguzi? Eti unapendwa hata kukosolewa hutaki unashinda kuwaita watu wanatumika na mabeberu! ona sasa kupendwa kwako umechapisha form moja ya kugombea urais.
Kama tu ndani ya chama haukubaliki unauweza mziki wa nje ya chama hofu ya nini mzee umefanya siasa mwenyewe miaka 5 hofu ya nini?
halafu mtu umejenga madaraja hofu ya nini mzee baba mi naamini kama kweli kwa dhati umefanya makubwa ungeruhusu uchaguzi huru kuanzia kwenye chama chako mpaka kumuhakikishia ulinzi Tundu Lissu ili alejee umubwage.
Mwaka huu ujipange sana wape salamu wasimamizi wa uchaguzi kwenye vituo, wakurugenzi na wote wanaotaka kuvuruga uchaguzi tutaenda jino kwa jino mpaka kieleweke na ndio mwaka ambao unaleta somo kwamba udicteta hauwezi kufanya kazi nchini mwetu wengine tupo tayari kwenda jera kwa miaka 5 ila kuacha soma la umuhimu wa haki na uchaguzi ulio wazi.
Mmhhh kichekesho kweli hivi anaependwa angeogopa tume huru,anaependwa angezuia wenzake wasifanye mikutano kama yeyeAcheni hofu kila mtu avune alichopanda
Magufuli alipanda maendeleo kwa Watanzania ni muda wa kuvuna
Chadema ilipanda kuwatetea Wazungu watuibie raslimali zetu ni muda wa kuvuna mlichopanda
Kwani Nani kakudanganya sio tume huru? Tume Ni huru na ipo kikatibaSasa Comrade kwanini mnaogopa kuvuna chini ya tume huru?
Kanywe konyagi upunguze stress ewe mfuasi wa shetaniMapombe mtu wa hovyo akubariki jitu lishetani.
Lawama zote anazo mboweKama tume ni huru kwanini Akwelina alipigwa risasi?