technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,558
- 57,857
Unapendwa hutaki uchaguzi huru? Unapendwa hautaki media ziwe huru? Unapendwa hautaki tume huru ya uchaguzi? Eti unapendwa hata kukosolewa hutaki unashinda kuwaita watu wanatumika na mabeberu! ona sasa kupendwa kwako umechapisha form moja ya kugombea urais.
Kama tu ndani ya chama haukubaliki unauweza mziki wa nje ya chama hofu ya nini mzee umefanya siasa mwenyewe miaka 5 hofu ya nini?
halafu mtu umejenga madaraja hofu ya nini mzee baba mi naamini kama kweli kwa dhati umefanya makubwa ungeruhusu uchaguzi huru kuanzia kwenye chama chako mpaka kumuhakikishia ulinzi Tundu Lissu ili alejee umubwage.
Mwaka huu ujipange sana wape salamu wasimamizi wa uchaguzi kwenye vituo, wakurugenzi na wote wanaotaka kuvuruga uchaguzi tutaenda jino kwa jino mpaka kieleweke na ndio mwaka ambao unaleta somo kwamba udicteta hauwezi kufanya kazi nchini mwetu wengine tupo tayari kwenda jera kwa miaka 5 ila kuacha soma la umuhimu wa haki na uchaguzi ulio wazi.
Kama tu ndani ya chama haukubaliki unauweza mziki wa nje ya chama hofu ya nini mzee umefanya siasa mwenyewe miaka 5 hofu ya nini?
halafu mtu umejenga madaraja hofu ya nini mzee baba mi naamini kama kweli kwa dhati umefanya makubwa ungeruhusu uchaguzi huru kuanzia kwenye chama chako mpaka kumuhakikishia ulinzi Tundu Lissu ili alejee umubwage.
Mwaka huu ujipange sana wape salamu wasimamizi wa uchaguzi kwenye vituo, wakurugenzi na wote wanaotaka kuvuruga uchaguzi tutaenda jino kwa jino mpaka kieleweke na ndio mwaka ambao unaleta somo kwamba udicteta hauwezi kufanya kazi nchini mwetu wengine tupo tayari kwenda jera kwa miaka 5 ila kuacha soma la umuhimu wa haki na uchaguzi ulio wazi.