Itachukua muda sana watu kumuelewa Magufuli. Alishasema na kurudia rudia kwamba sasa ni KAZI TU! Hakuna cha ccm wala chadema wala cuf nccr au nani yule. Focus ni wananchi wanyonge.Kitendo cha kuwakana wafanyabiashara mbele ya hadhira kuwa hawakuchangia na hawakudai hata senti na anaekudai asimame lilikuwa kosa kubwa ili hali kila mtu anajua kuwa hao watu wanamchango kufanikisha kampeni mpaka kuchaguliwa urais,kama mwenyewe ulivyojinasibisha kuwa huna kitu,hivi unafikiri mwenyekiti na genge lake wana furaha nawe haiwezekani sababu sura yako haikuonekana kwenye kukopa wala kuomba michango umekiachia chama mzigo wa madeni,sasa hawa malipo yao ilikuwa kuwachiwa wafanye watakavyo.Angalia sasa wanaficha sukari ccm wanakukomoa sababu hao ndio wenye hivyo viwanda na hisa,mwenyekiti anajua lakini ana hasira amekuchunia yupo upande wa rafiki zake,kwani mtoto wa mkulima aliposema mafisadi wakifungwa nchi itayumba alimaanisha hao ndio wenye flow meter,sukari na bandari kavu.na ndio vyanzo vya mapato ya chama sio viwanja wala kulaza magari wala shule,jua umeingilia mapato ya chama.
Angalizo huwa wanamchezo wa kubadilisha ubao wa matangazo mwenzio aliambiwa madawa ya kulevya akapambana nayo kweli kumbe maliasili na bandari na taasisi za umma wanamaliza,wewe wamekuwekea wa sukari sasa.jivike mabomu ulipuke nao hakuna jinsi.
Likamuliwe hivo hivo mpaka kiini kitoke!kama ametaka tusimame kwenye ukweli,ukweli wenyewe ndio huu,jipu linauma
Ni kweli focus ni wanyonge ndio sisi ,je hawa matajiri wa sukari wanafanya nini sasaItachukua muda sana watu kumuelewa Magufuli. Alishasema na kurudia rudia kwamba sasa ni KAZI TU! Hakuna cha ccm wala chadema wala cuf nccr au nani yule. Focus ni wananchi wanyonge.
sio sana kama usipokua na sauti inayomaanisha kile unachokisema pamoja na sura utapata shida,,,,wakum buke kauli ya nyerere,,,ukiweka ubia utapata shida maana huwez fanya maamuziKaaaZi kweli kweli. Kuendesha nchi ni kazi nzito sana
Chama kinaweka ubia na wafanyabiashara kwa kupokea michango yao,leo unawabana wakati unajua hela waliochangia chama haijarudi kumbuka hakuna kitu cha bure,na unajinasibu kuwa hukupokea mchango wa mfanyabiashara yeyote huku ukijua wao walikichangia chama na wala sio wewe ila chama ndicho kilikudhamini kampeni zako ngoma hii bado ni mbichi sana.sio sana kama usipokua na sauti inayomaanisha kile unachokisema pamoja na sura utapata shida,,,,wakum buke kauli ya nyerere,,,ukiweka ubia utapata shida maana huwez fanya maamuzi
Giza mbele huoni nyuma huoni....
......ha ha ha mizizi na shina vinaachana