MAGUFULI anajua vyanzo vya mapato ya CCM

MAGUFULI anajua vyanzo vya mapato ya CCM

Kazi kwelikweli!

20160508_080435.jpg
Hali ni tete kwa kweli.
 
Muda unakimbia...idd hiyooo, christmas njiani ... aiseee
 
Umenena vema. Hujataja RVA feki. Eti kesi kashinda na sasa anaidai serikali Bilioni 60!!!! Hivyo mmiliki wa kiwanda hiki nani vile????!!!!!???
Mzee Madabida mwenyekiti wa CCM DSM!!!
 
Anko ebdelea,wafyeke miguu wote wanaokubania,tutakuwa na njaa ya muda tu,taifa litatengeneza wafanyabiashara wapya,wazalendo,ambao wataibuka kipinfi cha maisha na staili mpya ya kipato ambacho hakitaweka matabaka na kuumizi taifa.
Punda afe mzigo ufike
 
Siku hizi kuna ccm mbili hivyo michango unapotoa hoji kwanza ni ya ccm ipi?
 
Anko ebdelea,wafyeke miguu wote wanaokubania,tutakuwa na njaa ya muda tu,taifa litatengeneza wafanyabiashara wapya,wazalendo,ambao wataibuka kipinfi cha maisha na staili mpya ya kipato ambacho hakitaweka matabaka na kuumizi taifa.
Punda afe mzigo ufike
Kama hivyo fikra mbadala ndizo zinazohitajika
 
N
Nakumbuka kipindi Si kirefu akiwa waziri, matajiri wa malori waligoma wakapaki barabarani, mh. akasema kupaki ruksa ila majikoni kwenu....mwisho wa picha matajiri wakaibuka kidedea, tusubiri toleo lijalo....!.
Kipindi iko hakua Rais
 
mpaka sasa sijaona lumumba buku 7 hapa kwenye huu uzi.sijui hata leo yatapata buku 7


swissme
 
Daah! Aisee haya mambo bna , anachekesha sana. Ngoja nikae kimaya tu maana there's alot more to come
 
Kuna kipindi walifura kwa hasira Tanzania sio kisiwa ili atoke tu huku nyuma wamkomeshe
 
Umenena vema. Hujataja RVA feki. Eti kesi kashinda na sasa anaidai serikali Bilioni 60!!!! Hivyo mmiliki wa kiwanda hiki nani vile????!!!!!???
Mmiliki ni m/kiti wa ccm. Nimewai kuona s/kali ikishinda kesi dhidi ya prof:Juma Kapuya na wenzake,ambayo kufungwa kwao hakina faida kwa taifa kufuatana nahsara walioipa s/kali
Umenena vema. Hujataja RVA feki. Eti kesi kashinda na sasa anaidai serikali Bilioni 60!!!! Hivyo mmiliki wa kiwanda hiki nani vile????!!!!!???
Mmiliki ni m/kiti wa ccm. Nimewai kuona s/kali ikishinda kesi dhidi ya prof:Juma Kapuya na wenzake,ambayo kufungwa kwao hakina faida kwa taifa kufuatana nahsara walioipa s/kali
 
Mmiliki ni m/kiti wa ccm. Nimewai kuona s/kali ikishinda kesi dhidi ya prof:Juma Kapuya na wenzake,ambayo kufungwa kwao hakina faida kwa taifa kufuatana nahsara walioipa s/kali

Mmiliki ni m/kiti wa ccm. Nimewai kuona s/kali ikishinda kesi dhidi ya prof:Juma Kapuya na wenzake,ambayo kufungwa kwao hakina faida kwa taifa kufuatana nahsara walioipa s/kali
Huyu kapuya hayupo kwenye mwendo kasi huyu!!
 
Kipindi iko hakua Rais
Ndio maana nimesema tusubiri toleo lijalo, Umesahau ishu ya juzi ya makontena?, TRA ilipowabana matajiri Na kuanza mchakato wa kuwapeleka mahakamani, bosi mkubwa akatoa msamaha Na ofa ya siku saba kulipia, matajiri hawana njaa, wakalipa, sheria zilivunjwa lakini kwa sababu waliovunja Ni matajiri, wapo mtaani, maisha yanaendelea, nasema hivi... Tusubiri toleo lijalo, tamthiliya inaendelea....!.
 
Back
Top Bottom