Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

Na Maiga anapenda sana madaraka angemsusia kazi yake. Unaacha ofisi unafanya kazi barabarani nitumbue jipu nisitumbue.
 
Sema vipi B7 Lumumba wamepigwa ganzi?
 
Baada ya kuona hali ngumu ameshawaambia CCM,HATAMAKABURI...watu tuliyaonahaya ttukasema lliwalona liwe lakini sio CCM!
Dah umaarufu woteeee, sasa chali! Na ndo kwanza miezi 6!
a
 
Reactions: PNC
Baada ya kuona hali ngumu ameshawaambia CCM,HATACHIMBUA MAKABURI...watu tuliyaonahaya ttukasema lliwalona liwe lakini sio CCM!
Dah umaarufu woteeee, sasa chali! Na ndo kwanza miezi 6!
a
 
Nai reserve comment yako hii kama utabiri wako ni wa kweli au ni ramli. Time will tell!
 
Na Maiga anapenda sana madaraka angemsusia kazi yake. Unaacha ofisi unafanya kazi barabarani nitumbue jipu nisitumbue.
Kuna uwezekano kuna wazee wenye busara zao wamemkalisha chini JPM na kumueleza anayofanya sio sahihi ndio maana siku hizi amekuwa mpole na kupunguza sifa.

Hata siku ile pale Dar airport si umeona alivyokuwa mstaarabu?
 

EL hajachuja mpaka sasa
 
Mkuu, inawezekana wapo ambao wameathirika na mambo mengi kama ulivyoainisha, lakini yapo mambo ambayo kiukweli muulize mtu yeyote MAKINI tena ndani ya Serikali tena mtu muadilifu, atakuambia pamoja na nia njema ya mh, kuna maeneo anakosea sana. Siyo lazima kuyataja lakini kiukweli, washauri wake wajitahidi kumshauri. Kuongoza nchi ni kazi ngumu ambayo inabidi umuombe sana Mungu akupe Hekima, Subira, busara na uvumilivu!
 
Jamaa,kapoa saana.mpka,namuhurumia,,,siku ile ameshtukiza airport nlitegemea mtu atumbuliwe..maana yule maza alimdanganya lkn hakufanya hvo.asa nkajiuliza,mbona Mama Kilango alidanganyq na yy lkn akatumbuliwa
Hilo nalo neno!
 
utawala uliosimikwa kwa dhuluma na damu za watu hauwezi simama, ona ya znz na mengine mengi
 
Jamaa,kapoa saana.mpka,namuhurumia,,,siku ile ameshtukiza airport nlitegemea mtu atumbuliwe..maana yule maza alimdanganya lkn hakufanya hvo.asa nkajiuliza,mbona Mama Kilango alidanganyq na yy lkn akatumbuliwa
Hapo unapotoka. Hicho ulichoandika ni nje ya UTAWALA WA SHERIA.Kwa hilo mimi nampongeza Mh kwa kuvumilia na kuchukua muda kujiridhisha. Tuache kulaumu kila mahali!
 
Nasubir kesi za maafisa wa nida,tra,tpa n.k nikimuona anashughulia pia escrow na lugumi mimi nitamuunga mkono kwa sasa nitaendelea kumkosoa.
Escrow, Lugumi? Unataka tetemeko la nchi ?
Tuna nyumba zetu ati usitake kutuvunjia
 
Jamaa,kapoa saana.mpka,namuhurumia,,,siku ile ameshtukiza airport nlitegemea mtu atumbuliwe..maana yule maza alimdanganya lkn hakufanya hvo.asa nkajiuliza,mbona Mama Kilango alidanganyq na yy lkn akatumbuliwa
Kwa Kilango hakukuwa na ulazima wa kumfanyia vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…