hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
Hii ni ndoto inayoenda kuwa ya kweli.
Katika bajeti ya serikali ya mwaka 2016/2017 Tanzania imetenga fedha ya kununua ndege tatu ( 3 ). Nawaza kwa sauti kwamba endapo rais ataamua hatua hiyo iwe kila bajeti ya mwaka ina maana hadi mwaka 2020 KWA MARA YA KWANZA TANGU UHURU, TANZANIA ITAKUWA NA NDEGE 30.....AMaZiNg...
wakati Kikwete anaingia Tanzania ilikuwa na Ndege Mbili. wakati anaondoka madarakani Tanzania imejikuta ina shirika la Ndege lisilo na Ndege.
Katika bajeti ya serikali ya mwaka 2016/2017 Tanzania imetenga fedha ya kununua ndege tatu ( 3 ). Nawaza kwa sauti kwamba endapo rais ataamua hatua hiyo iwe kila bajeti ya mwaka ina maana hadi mwaka 2020 KWA MARA YA KWANZA TANGU UHURU, TANZANIA ITAKUWA NA NDEGE 30.....AMaZiNg...
wakati Kikwete anaingia Tanzania ilikuwa na Ndege Mbili. wakati anaondoka madarakani Tanzania imejikuta ina shirika la Ndege lisilo na Ndege.