BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,533
- 3,838
Kazidiwa hata na bright mn'garo
Mtoa mada inafanya kazi BBC maana Sijaona bandiko LA BBC lililosema kuwa Leo zamu ya Magufuri just assumptions from people.
Magufuli alijua interview ni ya kiingereza alivyoona kaalikwa na BBC.
Ikiwa ni siku moja baada ya raisi mtarajiwa Edward Lowassa kufanya interview ya BBC leo ilikuwa ahojiwe mgombea wa CCM.
BBC waliahidi hivyo jana na hata leo magroup yote ya whatsapp taarifa zilisambazwa kuwa Magufuli atafanya interview na BBC lakini Magufuli amekimbia.