Magufuli ajibu shutuma za Zitto

Magufuli ajibu shutuma za Zitto

Zitto na filam zake kwa mafisadi.
Maigizo haya yanalenga zaid kuwasafisha mafisadi wa ccm ili wajiunge nae wakikosa urais ama wamsifie kama siku zote wanavyofanya.

Zitto, na ulaaniwe na watanzania wote waliokuwa wameamua kuunganisha nguvu ya vyama ili kumuondoa mkoloni ccm na badala yake unesaidia nguvu ya ccm kuigawa nguvu ya upinzani na kuwafanya watz mazuzu waanze safari upya ya kujenga chama na kuipa ccm nafasi ya kuendelea kuwaibia wananchi, huku ukijinasibu kutaja watu wajitete na wakati wajua haitasaidia kitu maana ndiyo wenye mamlaka.
Unaudhi sana

Huna hoja we mburula, mbona wote aliowataja ni wanaccm?
 
Zitto na filam zake kwa mafisadi.
Maigizo haya yanalenga zaid kuwasafisha mafisadi wa ccm ili wajiunge nae wakikosa urais ama wamsifie kama siku zote wanavyofanya.

Zitto, na ulaaniwe na watanzania wote waliokuwa wameamua kuunganisha nguvu ya vyama ili kumuondoa mkoloni ccm na badala yake unesaidia nguvu ya ccm kuigawa nguvu ya upinzani na kuwafanya watz mazuzu waanze safari upya ya kujenga chama na kuipa ccm nafasi ya kuendelea kuwaibia wananchi, huku ukijinasibu kutaja watu wajitete na wakati wajua haitasaidia kitu maana ndiyo wenye mamlaka.
Unaudhi sana
Mkuu kwani upinzani ni Chadema tu Tanzania hiyo imeandikwa wapi?
 
Kwa hiyo hizo tume ndizo ziliona suluhisho la upungufu wa nyumba ni kuuzwa kwa nyumba hizo! Kuna mtu alisema mtu akikupa ushauri wa kipumbavu na wewe ukaukubali anakudharau.
 
* Tatizo sio kuuza nyumba...tatizo, zinauzwa kwa bei gani....

Hapana mkuu!!

Nadhani ni tatizo kuuza nyumba za serikali iwe kwa bei yoyote na wakati huohuo kuna wafanyakazi wa serikali hiyo hiyo wanahitaji kupewa nyumba za kuishi hazipo au hazitoshi na badala yake wanapangishiwa nyumba au wanaishi kwenye mahoteli kwa kulipa mabilioni ya fedha!

Halafu hebu tufikiri kidogo tu hili; Kwamba,serikali iliuza nyumba zake wakati ule, lakini bado serikali hiihii inaendelea kujenga nyumba kwa ajili ya wafanyakazi wake, sasa ni nini logic ya utaratibu huu?......Binafsi, sielewi!!!

I thought, mara baada ya sera hiyo ya kuuza nyumba za serikali kwa ajili ya wafanyakazi wa serikali, basi serikali ingeacha kuendelea kujenga nyumba zingine zaidi za serikali!!
 
yani uamuzi wa baraza la mawaziri hata wa kijambazi ndio uutekeleze,si angejiuzulu!!!halafu huyu kilaza alituambia wakazi masikini wa kigamboni tupige mbizi.
magufuli hawezi kuwa kilaza, kilaza ni wewe na ndugu zako ambao mia mbili ya kupanda kivuko hamna. Kuhusu nyumba za serikali, afadhali hata zimeuzwa kwa sababu hata tulizobaki nazo kwa baadhi ya mashirika ni kero tupu. Nyingi yake zimechoka na ziko beyond repair. Tunalalamikia nyumba za serikali milele. Kuhusu kujiuzulu ni kwa lipi hilo. Watu hujiuzuru kwa kufanya skendo, hapa hakuna kosa lililofanywa na magufuri ama na watu walio chini yake. Kama ni makosa ni ya serikali
Nzima na mwenye serikali alikuwa mkapa.
 
Hapana mkuu!!

Nadhani ni tatizo kuuza nyumba za serikali iwe kwa bei yoyote na wakati huohuo kuna wafanyakazi wa serikali hiyo hiyo wanahitaji kupewa nyumba za kuishi hazipo au hazitoshi na badala yake wanapangishiwa nyumba au wanaishi kwenye mahoteli kwa kulipa mabilioni ya fedha!

Halafu hebu tufikiri kidogo tu hili; Kwamba,serikali iliuza nyumba zake wakati ule, lakini bado serikali hiihii inaendelea kujenga nyumba kwa ajili ya wafanyakazi wake, sasa ni nini logic ya utaratibu huu?......Binafsi, sielewi!!!

I thought, mara baada ya sera hiyo ya kuuza nyumba za serikali kwa ajili ya wafanyakazi wa serikali, basi serikali ingeacha kuendelea kujenga nyumba zingine zaidi za serikali!!

* Upo sawa mkuu....

* Alichosema Sumaye kwa niaba ya waliopiga dili ya kuuzwa kwa nyumba za serikali ni kuwa kulikuwa kuna gharama zina-pile up za marekebisho (maintainance) kitu ambacho sikubaliani nacho...kwa sababu maintainance haikwepeki kwa jengo lolote na ni sio zoezi la kila mara...labda tu kama nyumba zenyewe hazina ubora....

* Suala ya upungufu wa nyumba za serikali ni hoja kubwa...lakini upungufu huo unatofautiana kimkoa au kiwilaya...Kama nyumba za Dar es Salaam 'zilizozidi' (namaanisha nyumba kuwa economically beneficial to the state) zinauzwa ili kupata fedha za kujenga zingine katika mkoa au wilaya zingine zenye upungufu nadhani hamna tatizo...swali linakuja kwamba hizo hela zilizopatikana zilitumika kujenga nyumba mpya sehemu zenye upungufu au zilienda kwenye matumizi mengine?....hapo ndipo suala la bei linapokuja...kwanini ziuzwe kwa bei ya maandazi?....
 
Unakurupuka kujibu bila kuangalia Sumaye alisema nini au uvivu wa kuchunguza mambo? Kipindi fulani Magufuli aliondolewa katika Wizara ya Ujenzi (2005-2010) ili wachunguze kama kulikuwa na wrongdoing mwisho wa siku wakaambulia patupu ikiwemo kumrudishia wizara anayoimudu - leo kila mtanzania asiye mnafiki anakiri mafanikio ya barabara ikiwemo ujenzi wa nyumba mpya za serikali.

Habari ya watu ndugu zake waliuziwa nyumba unazidi kupotea kabisa mambo haya yalichunguzwa vilivyo kipindi Magufuli kaondolewa wizarani, njooni na vitu vingine hili la nyumba mnapoteza muda wenu badala ya kuufanyia kazi zenye tija.
Wewe hata hujui unachoongea,
Alitolewa kwenye wizara ili achunguzwe? nani alikua akimchunguza?
 
Wewe hata hujui unachoongea,
Alitolewa kwenye wizara ili achunguzwe? nani alikua akimchunguza?

nasaidia tu nisitukanwe, kipindi kile Kikwete aliingia full kurudisha nyumba kama unakumbukumbu vizuri, alichokifanya kwanza ni kumuondoa Magufuli ili wajue makosa wapi yalifanyika na kuzirudisha, lakini ilionekana hakuna makosa. Hiki ndicho kilifanywa Magufuli akaondolewa Ujenzi.
 
Shakir,
Je, uliomba kununua moja ya nyumba uknyimwa?
Kuna National Housing cooperations. Je, wamefanikiwa vili kuongeza au kusimimamia nyumba hizo?
Kuna watu wengi wazawa walipangishwa nyumba za NHC badala yake wakawapangisha wahindi halafu wao wakaenda kuishi kwene squatters, wewe ulipenda Tanzania wasaidiwe vipi zaidi ya hivyo walivofanyiwa?
Sumaye kasema ulikuwa uamuzi wa serikali nzima yaani baraza lote la mawaziri wakiwemo wagombea zaidi ya kumi katika kipindi hiki na akiwemo JK kwene hilo baraza . . , Kama unaamini magufuli aliamua pekee kuziuza hizo nyumba wakti alekuwa kilanja wake [waziri mkuu - Sumaya] keshakiri kuwa mawaziri wote walihusika kutoa uamuzi huo . . Je, uliwezaje kumwani JK alekuwa mmoja wa watoa maamuzi ya kuiziza hizo nyumba kisha pembeni unasema magufuli ndo Fisadi pekee???
HEBU JIBU haYO MASWALI KWANZA!!
 
Hivi anaye sema zile nyumba ziliuzwa bei ndogo ya 30M to 60M je huyo mtu anafanya discounting ya hiyo hela kwa wakati huu? Na je anayesema hizo nyumba ziliuzwa kwa bei ndogo alitaka ziuzwe kwa bei gani kwa wakati ule? ,Je mtu anayesema Magufuli ndiye aliye uza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa anamaanisha kwamba magufuli ndo aliyekuwa final approval wa mradi ule? Na Je anayesema Magufuli aliuza nyumba amepitia ripoti zote za tume tatu zilizofanywa na watu tofauti kwa miaka tofauti na kuja na majawabu yanayofanana? Je magufuli angelikuja na tafti zipi na kwa idhini ipi ili apinge ripoti za hizo za tume tatu pamoja na maoni na ushauli wa baraza la Mawazili? Jamani msiwe biasi kujadili mada. Magufuli atabaki kuwa safi tu naamini ata wewe ungelifanya hivo kama magufuli alivyo fanya kutekeleza maazimio ya baraza la mawazili. Wanaosema kwamba alinufaika ,Je hakutakiwa kunufaika na uamuzi ule wakati namwenyewe alikuwa mtumishi wa umma?
 
JACK,
Umri wa nyumba unapoongezeka gharama za ukarabati huongezeka. Isitoshe mara nyungi watumishi wa serikali walikuwa wakitumia mwanya wa kukarabati hizo nyumba kukwiba fedha. Isitoshe nyumba nyingi zinahandisiwa kuishi miaka hamsini [mara nyingi maghorofa na nyumba za kawaidi mahala pengi huhandisiwa kuishi miaka 30] kama nyumba imejengwa mwaka 1950 kuna hasara gani kuiuza mwaka 1990? jambo jingine unalotakiwa kujua alefanya utathmini ni mtathmini wa serikali. Yeye katoa gharama halisi ya hizo nyumba. Sasa kama huyo mtathmini si competent wewe kwa nini umlaumu Mwanasiasa?
hebu rudi kapatie mtiririko wa NPV ili upate picha halisi!!
* Upo sawa mkuu....

* Alichosema Sumaye kwa niaba ya waliopiga dili ya kuuzwa kwa nyumba za serikali ni kuwa kulikuwa kuna gharama zina-pile up za marekebisho (maintainance) kitu ambacho sikubaliani nacho...kwa sababu maintainance haikwepeki kwa jengo lolote na ni sio zoezi la kila mara...labda tu kama nyumba zenyewe hazina ubora....

* Suala ya upungufu wa nyumba za serikali ni hoja kubwa...lakini upungufu huo unatofautiana kimkoa au kiwilaya...Kama nyumba za Dar es Salaam 'zilizozidi' (namaanisha nyumba kuwa economically beneficial to the state) zinauzwa ili kupata fedha za kujenga zingine katika mkoa au wilaya zingine zenye upungufu nadhani hamna tatizo...swali linakuja kwamba hizo hela zilizopatikana zilitumika kujenga nyumba mpya sehemu zenye upungufu au zilienda kwenye matumizi mengine?....hapo ndipo suala la bei linapokuja...kwanini ziuzwe kwa bei ya maandazi?....
 
nasaidia tu nisitukanwe, kipindi kile Kikwete aliingia full kurudisha nyumba kama unakumbukumbu vizuri, alichokifanya kwanza ni kumuondoa Magufuli ili wajue makosa wapi yalifanyika na kuzirudisha, lakini ilionekana hakuna makosa. Hiki ndicho kilifanywa Magufuli akaondolewa Ujenzi.
Watetezi wa Maghufuli wanasema ulikua ni uamuzi wa Baraza la Mawaziri, ambalo Kikwete alikua ni mmoja wao.

Sasa unavyoongea hapa ni kama vile Kikwete aliingia kwenye Urais akiwa mtu mpya kabisa ambae hakujua chochote kilichofanyika kabla wakati si kweli.
 
I like your opinion!



Hivi anaye sema zile nyumba ziliuzwa bei ndogo ya 30M to 60M je huyo mtu anafanya discounting ya hiyo hela kwa wakati huu? Na je anayesema hizo nyumba ziliuzwa kwa bei ndogo alitaka ziuzwe kwa bei gani kwa wakati ule? ,Je mtu anayesema Magufuli ndiye aliye uza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa anamaanisha kwamba magufuli ndo aliyekuwa final approval wa mradi ule? Na Je anayesema Magufuli aliuza nyumba amepitia ripoti zote za tume tatu zilizofanywa na watu tofauti kwa miaka tofauti na kuja na majawabu yanayofanana? Je magufuli angelikuja na tafti zipi na kwa idhini ipi ili apinge ripoti za hizo za tume tatu pamoja na maoni na ushauli wa baraza la Mawazili? Jamani msiwe biasi kujadili mada. Magufuli atabaki kuwa safi tu naamini ata wewe ungelifanya hivo kama magufuli alivyo fanya kutekeleza maazimio ya baraza la mawazili. Wanaosema kwamba alinufaika ,Je hakutakiwa kunufaika na uamuzi ule wakati namwenyewe alikuwa mtumishi wa umma?
 
Maghufuli ni vigumu sana kumchafua, watu wanaomzunguka wanaoweza kumtetea ni wengi mno. Tumuache tu nyota yake iko juu jamani.

Na wewe ulipata nyumba au unatoka tu povu?

Hao wagombea wote ni ziro
 
Hoja ya kuuzwa kwa nyumba haiweze kumchafua Magufuli hata kidogo.Hata namwenyewe alipo najua hata mshipa wa kichwa hautingishiki kwa hii hoja hata kidogo. Hii hoja ni nyepesi kujibiwa kama vile unakunywa Maji ya kilimanjaro uku roho yako ikiwa imetulia.
 
JACK,
Umri wa nyumba unapoongezeka gharama za ukarabati huongezeka. Isitoshe mara nyungi watumishi wa serikali walikuwa wakitumia mwanya wa kukarabati hizo nyumba kukwiba fedha. Isitoshe nyumba nyingi zinahandisiwa kuishi miaka hamsini [mara nyingi maghorofa na nyumba za kawaidi mahala pengi huhandisiwa kuishi miaka 30] kama nyumba imejengwa mwaka 1950 kuna hasara gani kuiuza mwaka 1990? jambo jingine unalotakiwa kujua alefanya utathmini ni mtathmini wa serikali. Yeye katoa gharama halisi ya hizo nyumba. Sasa kama huyo mtathmini si competent wewe kwa nini umlaumu Mwanasiasa?
hebu rudi kapatie mtiririko wa NPV ili upate picha halisi!!

* Tuchukulie mfano, wewe ulijenga nyumba yako mwaka 1950...(nyumba au majengo ya zamani yanaonekana kudumu zaidi ya miaka 50 kwa sababu hakukuwa na uchakachuaji)...kwa sababu ni lazima uifanyie marekebisho kila baada ya mda mfupi...tukitumia hiyo 'notion' yako kuwa gharama za maintainance zinapanda kadri umri wa nyumba unavyopanda...Je, upi ni uamuzi bora, (a) kuiuza nyumba yako halafu ukaenda kupanga au kuishi hotelini? (b)kuikarabati na ukaendelea kuishi? (c)Kuiuza kwa sababu huna hela ya marekebisho na thamani ya nyumba imepanda halafu ukajenge nyingine ambayo ni ya bei nafuu?

* Kuna mtu amezungumzia mfumo..hii serikali ni corrupt...wanauziana mali ya umma kwa bei nafuu kwa kutumia valuers (watathmini) ambao wamepewa cha juu..hivyo kumfaidisha mnunuaji ambaye anakuwa mtumishi wa umma au mtu mwenye connection na mfumo...na hivyo kuendelea kuitafuna serikali....mtathmini/watathmini anakuwa/wanakuwa sehemu ya mchezo wala hayuko/hawako nje....

*Kama watumishi wa umma wanatumia mwanya wa kukarabati nyumba wanazoishi kuvuna hela, huoni kuna mapungufu kwenye mfumo au walio na dhamana kuendesha na kusimamia mfumo huo wameshindwa kazi?..ni sawa na kumlaumu mwanafunzi kuiba mtihani wakati hamna msimamizi kwenye chumba cha mtihani....

* NPV haitumiki wakati wa kuuziana mali ya serikali...formula inayotumika ni siri kali.....hujawahi kuona mtumishi wa umma ameuziwa Land Cruiser V8 ya mwaka 2013 kwa bei chee kwa sababu wakala wa ugavi kaandika 'notice' ambayo ni non-negotiable kuwa hiyo gari ni bora kuiuza kwa sababu inatumia fedha nyingi kwenye marekebisho, wakati sio kweli kiuhalisia....marekebisho ni geresha tu.....
 
* Tuchukulie mfano, wewe ulijenga nyumba yako mwaka 1950...(nyumba au majengo ya zamani yanaonekana kudumu zaidi ya miaka 50 kwa sababu hakukuwa na uchakachuaji)...kwa sababu ni lazima uifanyie marekebisho kila baada ya mda mfupi...tukitumia hiyo 'notion' yako kuwa gharama za maintainance zinapanda kadri umri wa nyumba unavyopanda...Je, upi ni uamuzi bora, (a) kuiuza nyumba yako halafu ukaenda kupanga au kuishi hotelini? (b)kuikarabati na ukaendelea kuishi? (c)Kuiuza kwa sababu huna hela ya marekebisho na thamani ya nyumba imepanda halafu ukajenge nyingine ambayo ni ya bei nafuu?

* Kuna mtu amezungumzia mfumo..hii serikali ni corrupt...wanauziana mali ya umma kwa bei nafuu kwa kutumia valuers (watathmini) ambao wamepewa cha juu..hivyo kumfaidisha mnunuaji ambaye anakuwa mtumishi wa umma au mtu mwenye connection na mfumo...na hivyo kuendelea kuitafuna serikali....mtathmini/watathmini anakuwa/wanakuwa sehemu ya mchezo wala hayuko/hawako nje....

*Kama watumishi wa umma wanatumia mwanya wa kukarabati nyumba wanazoishi kuvuna hela, huoni kuna mapungufu kwenye mfumo au walio na dhamana kuendesha na kusimamia mfumo huo wameshindwa kazi?..ni sawa na kumlaumu mwanafunzi kuiba mtihani wakati hamna msimamizi kwenye chumba cha mtihani....

* NPV haitumiki wakati wa kuuziana mali ya serikali...formula inayotumika ni siri kali.....hujawahi kuona mtumishi wa umma ameuziwa Land Cruiser V8 ya mwaka 2013 kwa bei chee kwa sababu wakala wa ugavi kaandika 'notice' ambayo ni non-negotiable kuwa hiyo gari ni bora kuiuza kwa sababu inatumia fedha nyingi kwenye marekebisho, wakati sio kweli kiuhalisia....marekebisho ni geresha tu.....

Sasa wa kumlaumu hapa sio Magufuli. Unaambiwa tume tatu zote zilikuja na majibu sawa na zilifanya tafiti zake kwa miaka tofauti na kuongozwa na watu tofauti. Magufuli alitoa ushauli kwenye bunge akiomba bunge litenge fedha kwa ajili ya ukarabati wa nyumba bunge likakataa basi akashauri yaletwe mapendekezo ya namna bora ya kutatua tatizo hilo ndo ikapendekezwa kwamba namna bora kwa kuzingatia Cost benefit analysis ni bora zikauzwa kwa bei elekezi, sasa kwanini umlaumu Magufuli,,, basi lazima ulaumu zile tume tatu, umlaumu independent Valuer,ulaumu baraza la mawazili, uwalaumu wabunge wawakati huo, Magufuli hapa hawezi kuchafulika hata kwa gunia la mkaa.
 
kwa yeye kuwa fisadi namba moja kupeleka baraza la mawaziri azimio la kuuza nyumba , hawzi kuwa msafi naye ni fisadi mkubwa ambaye kwa propaganda zako sawa mwone kama nyoka wa makengeza, bali si msafi.kwa mantiki hiyo hawezi kumshughulikia mtu yeyote kwanza ajishughulikie kukiri hadhani kuwa yeye fisadi
 
Jack ngoja nikujibu kifupi na kitalaam hivi:
Lifespan ya structure inapoisha kuna mambo kadhaa ambayo kitalaam yanakuwa yamefikiwa baadhi yake ni hayo:-
1. Gharama za uwekezaji na faida kiasi inakuwa ilishapatikana
2. Usalama wa huo muundo mbinu unakuwa umevuka mstari wa njano
3. Gharama za uendeshaji za huo muundombinu zinakuwa zimezidi majarajio ya uhandisi wake
. . .
. . .
Kwa mantiki hiyo unaweza kuona muundo mbinu fulani ni mzuri sana ila kwa malengo au dhamira ya uliyeujenga huo muundombinu ikaonekana ukomo wake ulishafikiwa [chukua mfano wa bidhaa zinazouzwa na balozi hasa za marekani na nchi za ulaya. Nyingi ukiziangalia kwa macho ni nzuri sana lakini kwao ni disposable].
Pia ni muhimu kufahamu kuwa weledi wa mtathmini hauna uhusiano na uhalisia!! pale mtathmini anapoharibu sidhani kama panakuwa na usahihi kumlaumu anayenunua au aliyefuata ushauri wa huyo mtalaam!


* Tuchukulie mfano, wewe ulijenga nyumba yako mwaka 1950...(nyumba au majengo ya zamani yanaonekana kudumu zaidi ya miaka 50 kwa sababu hakukuwa na uchakachuaji)...kwa sababu ni lazima uifanyie marekebisho kila baada ya mda mfupi...tukitumia hiyo 'notion' yako kuwa gharama za maintainance zinapanda kadri umri wa nyumba unavyopanda...Je, upi ni uamuzi bora, (a) kuiuza nyumba yako halafu ukaenda kupanga au kuishi hotelini? (b)kuikarabati na ukaendelea kuishi? (c)Kuiuza kwa sababu huna hela ya marekebisho na thamani ya nyumba imepanda halafu ukajenge nyingine ambayo ni ya bei nafuu?

* Kuna mtu amezungumzia mfumo..hii serikali ni corrupt...wanauziana mali ya umma kwa bei nafuu kwa kutumia valuers (watathmini) ambao wamepewa cha juu..hivyo kumfaidisha mnunuaji ambaye anakuwa mtumishi wa umma au mtu mwenye connection na mfumo...na hivyo kuendelea kuitafuna serikali....mtathmini/watathmini anakuwa/wanakuwa sehemu ya mchezo wala hayuko/hawako nje....

*Kama watumishi wa umma wanatumia mwanya wa kukarabati nyumba wanazoishi kuvuna hela, huoni kuna mapungufu kwenye mfumo au walio na dhamana kuendesha na kusimamia mfumo huo wameshindwa kazi?..ni sawa na kumlaumu mwanafunzi kuiba mtihani wakati hamna msimamizi kwenye chumba cha mtihani....

* NPV haitumiki wakati wa kuuziana mali ya serikali...formula inayotumika ni siri kali.....hujawahi kuona mtumishi wa umma ameuziwa Land Cruiser V8 ya mwaka 2013 kwa bei chee kwa sababu wakala wa ugavi kaandika 'notice' ambayo ni non-negotiable kuwa hiyo gari ni bora kuiuza kwa sababu inatumia fedha nyingi kwenye marekebisho, wakati sio kweli kiuhalisia....marekebisho ni geresha tu.....
 
Back
Top Bottom