Zitto na filam zake kwa mafisadi.
Maigizo haya yanalenga zaid kuwasafisha mafisadi wa ccm ili wajiunge nae wakikosa urais ama wamsifie kama siku zote wanavyofanya.
Zitto, na ulaaniwe na watanzania wote waliokuwa wameamua kuunganisha nguvu ya vyama ili kumuondoa mkoloni ccm na badala yake unesaidia nguvu ya ccm kuigawa nguvu ya upinzani na kuwafanya watz mazuzu waanze safari upya ya kujenga chama na kuipa ccm nafasi ya kuendelea kuwaibia wananchi, huku ukijinasibu kutaja watu wajitete na wakati wajua haitasaidia kitu maana ndiyo wenye mamlaka.
Unaudhi sana
Huna hoja we mburula, mbona wote aliowataja ni wanaccm?