Magufuli ajibu shutuma za Zitto

Magufuli ajibu shutuma za Zitto

kwa yeye kuwa fisadi namba moja kupeleka baraza la mawaziri azimio la kuuza nyumba , hawzi kuwa msafi naye ni fisadi mkubwa ambaye kwa propaganda zako sawa mwone kama nyoka wa makengeza, bali si msafi.kwa mantiki hiyo hawezi kumshughulikia mtu yeyote kwanza ajishughulikie kukiri hadhani kuwa yeye fisadi

Kama alipeleka pendekezo hilo si lilitokana na tume ya wataalam,,,,? Na si lilikuwa pendekezo, kwanini mawazili wasilikatae kama lilikuwa baya? , hapa naona hiyo hoja huwezi kuitumia kumuita fisadi.
 
Hawa wahuni hawakuuza nyumba, bali walijiuzia au kujigawia prime lands. Imagine, mtu anapata eka moja oysterbay or masaki or kijenge kwa million 20, tena unailipa taratibu. Come on. Watazirudisha siku moja.
 
Wewe unasumbuliwa na Ushabiki wa kisiasa tu, hivi hata hayo aliyoyasema Waziri Mkuu aliyesimamia zoezi hilo bado unasema ni Maghufuli. Unakimbia kusema ni mfumo hata haujui mfumo ni nini, au unataka kutuambia Maghufuli ndiyo mfumo wenyewe. Acha na wewe comments blah blah.

Ndani ya ccm hakuna aliye msafi kwenye nia ya dhati ya kulinda mali ya umma. Kwa kuwa uanuzi wa kuuza nyumba ilifanywa kwa makosa na nia mbaya ni lazima zirudishwe na kukabidhiwa wakala wa majengo na wsliozinunua warudishiwe fedha walizonunulia.
 
Zitto na filam zake kwa mafisadi.
Maigizo haya yanalenga zaid kuwasafisha mafisadi wa ccm ili wajiunge nae wakikosa urais ama wamsifie kama siku zote wanavyofanya.

Zitto, na ulaaniwe na watanzania wote waliokuwa wameamua kuunganisha nguvu ya vyama ili kumuondoa mkoloni ccm na badala yake unesaidia nguvu ya ccm kuigawa nguvu ya upinzani na kuwafanya watz mazuzu waanze safari upya ya kujenga chama na kuipa ccm nafasi ya kuendelea kuwaibia wananchi, huku ukijinasibu kutaja watu wajitete na wakati wajua haitasaidia kitu maana ndiyo wenye mamlaka.
Unaudhi sana

Na wewee!!! Hebu tupa upuuzi wako kule. Zitto nchi kafanya mengi yenye manufaa kwa nchi kuliko mtu yeyote wa UKAWA au Chadema.
Kwani ulitegemea nini Zitto afukuzwe Chadema halafu akae tu wakati yeye ni mwanasiasa? Jutia uamuzi wenu uliotawaliwa na hisia za kikanda. Zitto huuyooooooo anachanja mbuga na tayari ameshaigawa chadema. Hamtapata teba majimbo yale. Na ukweli sasa mmeumbuka sana. Dawa ni moja tu achana na Zitto mkiendelea kumshambulia basi mjue ndio mwisho wenu umefika.
 
Sijui kama mulimwelewa zitto, yeye kasema dr ndo aliuza wala hajasema alliba au aliuza kinyume cha seria.

Hoja ni kwamba yeye ndo alisimamia uuzaji wa hizo nyumba regardless zoezi lilikuwa na baraka za cabinet of ministers.
 
Sijui kama mulimwelewa zitto, yeye kasema dr ndo aliuza wala hajasema alliba au aliuza kinyume cha seria.

Hoja ni kwamba yeye ndo alisimamia uuzaji wa hizo nyumba regardless zoezi lilikuwa na baraka za cabinet of ministers.

Pro chadema kuna mda mnajiunga na mafisadi ili tu mumkomoe zit to hii inaleta kinyaa kabisa
 
Back
Top Bottom