Magufuli aiteka Mbeya, UKAWA bye bye!

Magufuli aiteka Mbeya, UKAWA bye bye!

Mwendelezo wa CCM fiesta 2015. CCM poleni Sana. Mimi Magufuri namkubali Sana ILA tatizo CCM Tu. Dash Magufuri kura yangu hautaiona kamwe labda uhame CCM
 
Hahahahaaaa!
Mleta mada umeniacha hoi!
Mkuu niko mbeya since ujio wa lowasa wa 14/8 !

Ni kweli jamaa anapita sehemu mbali mbali mbeya ila pipo they busy like hakuna wajualo kuhusu Magufuli!

Weeee! Acha kudanganya watu
 
Ukiona magar na vibendera ndo watu wanauliza kwa kuna nini!

Kwa kifupi hakuna mwenye hiyo habar! Unless uniambie hapa kafanyia kiwanja gani whether wilayan au mkoani penyewe!

Mbeya nchi! Sugu rais!
Huwaambii kitu

hadi uone WACHAGGA wenzio ndo unafurahi? Acha ukabila wewe!
 
Back
Top Bottom