Edoedward1
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 795
- 310
Sasa wewe unataka kufananisha umati wa kigamboni na ni mjini upande panton bure,running cost nani ata incur? Mbona tunakuwa na vichwa vigumu kuchambua mambo?,uchumi wa mtwara ni sawa na dar?, population ya watu wanaovuka kwenda msanga mkuu ni sawa na wanaovuka kwenda kigamboni?,angalia fuel consumption,maintenance ya kivuko
Population inahusiana vipi na priority ya wanafunz wa mtwara dhidi ya wale wa kigamboni? Acha unazi