Magufuli aagiza wanafunzi, wasafiri bure

Magufuli aagiza wanafunzi, wasafiri bure

Hizi ni dalili za wazi za kuchanganyikiwa na mafuriko ya UKAWA !

Kwanza muongo....serikali ina fweza gani wakati madeni yamewazidi kimo...?

Huko mnajisumbua mlishatesa watu na kuwapiga sababu ya gesi....sasa hata mgawe malori kwa kila kaya mtapigwa chini tuuu

Kiongozi suala la gesi ya Mtwara hiyo sahau kabisaaaa gesi ni ya watz we kama mmakonde malaba tafuta pa kutokea vinginevyo utakung`utwa kisawasawa
 
hatukawii kuasikia wamachinga wasibuguziwe popote pale watakapofanyia biashara,
boda boda waache huru kufanya kazi zao katika ya jiji kwani wanajipatika riski,
mama ntilie, wamachinga na wapika vitumbua katikati ya jiji ni marufuku kuwakamata kwa sasa kwani serikali ya awamu ya tano itakuja na mipango mkakati wa kuyatafutia ufumbuzi wa kudumu masuala haya.

Kidumu chama cha mapinduzi.........!!!

kigumuuuu!!!!
 
Pombe-11Agust2015.jpg

Waziri wa Ujenzi, John Magufuli.

Serikali imeagiza wanafunzi na watu wenye ulemavu katika Manispaa ya Mtwara Mikindani na kata ya Msangamkuu, watasafiri bure kwenye kivuko cha Mv Mafanikio.

Kauli hiyo ilitolewa juzi na Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, wakati akimkaribisha Rais Jakaya Kikwete kuzindua kivuko hicho.

Alisema wanafunzi wote waliovaa sare za shule hawatatozwa nauli kutokana na kundi hilo kuwa tegemezi.

“Walemavu na wanafunzi watavuka bure bila kutozwa hata shilingi 10, ili mradi tu awe amevaa sare za shule na walemavu pia hawatatozwa pesa yoyote na kwa wengine ni lazima tuendelee kuchangia mafuta ili kivuko hiki kitusaidie na kuwa endelevu,” alisema.

Magufuli alisema kivuko hicho chenye uwezo wa kubeba abiria 100 pamoja na magari kimegharimu Sh. milioni 3.3, fedha kutoka serikalini.

Akihutubia wananchi wa Msangamkuu pamoja na Mtwara wakati wa uzinduzi huo, Rais Jakaya Kikwete alisema serikali imetatua kero hiyo ya kivuko iliyokuwa ikiwakabili wananchi kwa muda mrefu.

“Kupatikana kwa kivuko hiki ni fursa nzuri kwenu kitumieni kwa kuuza bidhaa mbalimbali, kama mkazi wa Msangamkuu una ming’oko yako unahitaji kwenda kuuza mjini tumia kivuko hiki kwa maendeleo yenu” alisema Rais Kikwete.

Alisema kutokana na wakazi wa maeneo hayo kukosa kivuko tangu kupatikana kwa uhuru, watu wengi walipoteza maisha na kuwataka kukitumia kivuko hicho vizuri.

CHhanzo: NIPASHE

Swali langu: Nakumbuka Magufuri alishawahi kuwambia wananchi wa Kigamboni kwamba asiye na hela ya kulipia pantoni apige mbizi.

Lakini hivi karibuni Magufuli ambaye ni mgombea urais kupitia CCM ameagiza wanafunzi na walemavu wasafiri bure kwenye kivuko huko Mtwara, je hii sio rushwa ya kutaka kupata kura 25 oct?

Ni kweli mdau, nenda takukuru kama wanaosema mwenye ushahidi ufisadi wa EL aende mahakamani.
 
baada ya utafiti

kanda ya ziwa;
kagera
shinyanga
mwanza
musoma
tabora
geita

ushindi.......................
90% kwa magufuri
lowasa 10%

nyanda za juu kusini ,
magufuri 65%
lowasa 32%

coastal
magufuli 60%
lowasa 39%


zanzibar
magufuri 53%
lowassa 47%

kaskazini

lowasa 60%
magufuri 32 %


kanda ya kati;
magufuri 59 %
lowasa 32%

ziwa magharibi

magufuri 80 %
lowassa 12 %

ndo maana kwa mara ya kwanza ccm wapiga mwizi kimya kimya;

ccm 62 %
ukawa 38 %
chanzo?
 
Duuuuuhhhh mambo juu ya mambo,ama kweli tunafanywa Mabwege ile mbaya.Hebu nikuombe kama unazo picha za uzinduzi uliofanywa na Mh. Hawa Ghasia tuwekee ili hawa wakubwa wajuwe na sisi tuna akili,siyo wao tu.Au Mh.Rais kapigwa changa la macho...

Picha sinazo ila nilikuwa mtwara siku hiyo na hakuna shamrashamra zozote. Aliogopa kuzindua kiwanda cha gas kingetonesha vidonda
 
Magufuli pia si alikuwepo siku ya uzinduzi? Wanajaribu kumuuza huyu jamaa sana ila hauziki.

Magufuli alikuwepo ili kuwe na sababu ya kuzunguka naye ndio maana wanafanya uzinduzi tena. Watachanganyikiwa sana
 
Pombe-11Agust2015.jpg

Waziri wa Ujenzi, John Magufuli.

Serikali imeagiza wanafunzi na watu wenye ulemavu katika Manispaa ya Mtwara Mikindani na kata ya Msangamkuu, watasafiri bure kwenye kivuko cha Mv Mafanikio.

Kauli hiyo ilitolewa juzi na Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, wakati akimkaribisha Rais Jakaya Kikwete kuzindua kivuko hicho.

Alisema wanafunzi wote waliovaa sare za shule hawatatozwa nauli kutokana na kundi hilo kuwa tegemezi.

“Walemavu na wanafunzi watavuka bure bila kutozwa hata shilingi 10, ili mradi tu awe amevaa sare za shule na walemavu pia hawatatozwa pesa yoyote na kwa wengine ni lazima tuendelee kuchangia mafuta ili kivuko hiki kitusaidie na kuwa endelevu,” alisema.

Magufuli alisema kivuko hicho chenye uwezo wa kubeba abiria 100 pamoja na magari kimegharimu Sh. milioni 3.3, fedha kutoka serikalini.

Akihutubia wananchi wa Msangamkuu pamoja na Mtwara wakati wa uzinduzi huo, Rais Jakaya Kikwete alisema serikali imetatua kero hiyo ya kivuko iliyokuwa ikiwakabili wananchi kwa muda mrefu.

“Kupatikana kwa kivuko hiki ni fursa nzuri kwenu kitumieni kwa kuuza bidhaa mbalimbali, kama mkazi wa Msangamkuu una ming’oko yako unahitaji kwenda kuuza mjini tumia kivuko hiki kwa maendeleo yenu” alisema Rais Kikwete.

Alisema kutokana na wakazi wa maeneo hayo kukosa kivuko tangu kupatikana kwa uhuru, watu wengi walipoteza maisha na kuwataka kukitumia kivuko hicho vizuri.

CHhanzo: NIPASHE

Swali langu: Nakumbuka Magufuri alishawahi kuwambia wananchi wa Kigamboni kwamba asiye na hela ya kulipia pantoni apige mbizi.

Lakini hivi karibuni Magufuli ambaye ni mgombea urais kupitia CCM ameagiza wanafunzi na walemavu wasafiri bure kwenye kivuko huko Mtwara, je hii sio rushwa ya kutaka kupata kura 25 oct?



Labda wanafunzi wa kigamboni wanalipwa na bodi ya mikopo wakat wale wa mtwara ni tegemez
 
baada ya utafiti

kanda ya ziwa;
kagera
shinyanga
mwanza
musoma
tabora
geita

ushindi.......................
90% kwa magufuri
lowasa 10%

nyanda za juu kusini ,
magufuri 65%
lowasa 32%

coastal
magufuli 60%
lowasa 39%


zanzibar
magufuri 53%
lowassa 47%

kaskazini

lowasa 60%
magufuri 32 %


kanda ya kati;
magufuri 59 %
lowasa 32%

ziwa magharibi

magufuri 80 %
lowassa 12 %

ndo maana kwa mara ya kwanza ccm wapiga mwizi kimya kimya;

ccm 62 %
ukawa 38 %

utafiti wako umeufanya ukiwa umekalia nini?
 
Serikali imeagiza wanafunzi na watu wenye ulemavu katika Manispaa ya Mtwara Mikindani na kata ya Msangamkuu, watasafiri bure kwenye kivuko cha Mv Mafanikio.

Kauli hiyo ilitolewa juzi na Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, wakati akimkaribisha Rais Jakaya Kikwete kuzindua kivuko hicho.

Alisema wanafunzi wote waliovaa sare za shule hawatatozwa nauli kutokana na kundi hilo kuwa tegemezi.

“Walemavu na wanafunzi watavuka bure bila kutozwa hata shilingi 10, ili mradi tu awe amevaa sare za shule na walemavu pia hawatatozwa pesa yoyote na kwa wengine ni lazima tuendelee kuchangia mafuta ili kivuko hiki kitusaidie na kuwa endelevu,” alisema.

Magufuli alisema kivuko hicho chenye uwezo wa kubeba abiria 100 pamoja na magari kimegharimu Sh. milioni 3.3, fedha kutoka serikalini.

Akihutubia wananchi wa Msangamkuu pamoja na Mtwara wakati wa uzinduzi huo, Rais Jakaya Kikwete alisema serikali imetatua kero hiyo ya kivuko iliyokuwa ikiwakabili wananchi kwa muda mrefu.

“Kupatikana kwa kivuko hiki ni fursa nzuri kwenu kitumieni kwa kuuza bidhaa mbalimbali, kama mkazi wa Msangamkuu una ming’oko yako unahitaji kwenda kuuza mjini tumia kivuko hiki kwa maendeleo yenu” alisema Rais Kikwete.

Alisema kutokana na wakazi wa maeneo hayo kukosa kivuko tangu kupatikana kwa uhuru, watu wengi walipoteza maisha na kuwataka kukitumia kivuko hicho vizuri.

CHhanzo: NIPASHE

Swali langu: Nakumbuka Magufuri alishawahi kuwambia wananchi wa Kigamboni kwamba asiye na hela ya kulipia pantoni apige mbizi.

Lakini hivi karibuni Magufuli ambaye ni mgombea urais kupitia CCM ameagiza wanafunzi na walemavu wasafiri bure kwenye kivuko huko Mtwara, je hii sio rushwa ya kutaka kupata kura 25 oct?




sijakuelewa hapo kwenye red mkuu unatakakumaanisha milion 3.3 au ni bilion 3.3 naomba ufafanuzi hapo, lakini kama kivuko hicho kimeigharimu serikari shilingi milion 3.3 mbona ni fedha kidogo saana ambozo zisinge paswa hata kuwa na matangazo mengi ,,,,, pia na kama ni shilingi bilioni 3.3 zimetumika kwa kivuko hicho basi wameiba tena maana kimtumbwi kile akiwezi kuwa na gharama kiasi hiki .... hapo wa Tz tunaendelea kuibiwa,,
 
sijakuelewa hapo kwenye gharama ya kivuko mkuu unatakakumaanisha milion 3.3 au ni bilion 3.3 naomba ufafanuzi hapo, lakini kama kivuko hicho kimeigharimu serikari shilingi milion 3.3 mbona ni fedha kidogo saana ambozo zisinge paswa hata kuwa na matangazo mengi ,,,,, pia na kama ni shilingi bilioni 3.3 zimetumika kwa kivuko hicho basi wameiba tena maana kimtumbwi kile akiwezi kuwa na gharama kiasi hiki .... hapo wa Tz tunaendelea kuibiwa,,
 
Sasa wewe unataka kufananisha umati wa kigamboni na ni mjini upande panton bure,running cost nani ata incur? Mbona tunakuwa na vichwa vigumu kuchambua mambo?,uchumi wa mtwara ni sawa na dar?, population ya watu wanaovuka kwenda msanga mkuu ni sawa na wanaovuka kwenda kigamboni?,angalia fuel consumption,maintenance ya kivuko
 
Sasa wewe unataka kufananisha umati wa kigamboni na ni mjini upande panton bure,running cost nani ata incur? Mbona tunakuwa na vichwa vigumu kuchambua mambo?,uchumi wa mtwara ni sawa na dar?, population ya watu wanaovuka kwenda msanga mkuu ni sawa na wanaovuka kwenda kigamboni?,angalia fuel consumption,maintenance ya kivuko

Kwa hiyo wanafunzi na walemavu wa Mtwara wana haki zaidi kuliko wa Kigamboni?
 
Back
Top Bottom