nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
hao wananchi walianza kuleta uchochezi....
Unajifanya mjuaji,Mama Janet anayeeeza kuandikwa humu ni mmoja tuKwani we umeelewa ni Mama Janeth yupi?
Labda tuanzie hapo.
Yupi huyo mkuu?Unajifanya mjuaji,Mama Janet anayeeeza kuandikwa humu ni mmoja tu
Mkuu mimi siegemei upande wowote. Angalia signature yangu.mnajua kumtetea mtukufu wenu
Rais Magufuli akiwa kwenye ziara yake ya kikazi, wananchi wa wilaya ya Magu mkoani Mwanza wamemsimamisha na kumlalamikia kuwa wana tatizo la njaa.
Wananchi hao wanasikika wakipaza sauti za 'Njaa.. Njaa'' wakati akisalimia na kutoa shukrani zake kwa kumchagua kuwa Rais katka Uchaguzi Mkuu 2015.
Baada ya kelele za njaa kuzidi, Rais Magufuli anasikika akimjibu mmojawapo huku akichanganya na lugha ya kisukuma.
''Njaa, unataka mimi nikakupikie chakula ule'', kauli ambayo inaibua vicheko kutoka kwa wananchi hao waliokuwa wakimshangilia.
Rais anasikika akimaliza kwa kusema ''Magu Oyee! Nataka niwashukuru wananchi wa Magu kwa kunipigia kura''.
My take: Kisukuma sijui hapo Raisi kaongea nini!
Kashamchagua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi2020 akichomoka mie nahama nchi
Rais Magufuli akiwa kwenye ziara yake ya kikazi, wananchi wa wilaya ya Magu mkoani Mwanza wamemsimamisha na kumlalamikia kuwa wana tatizo la njaa.
Wananchi hao wanasikika wakipaza sauti za 'Njaa.. Njaa'' wakati akisalimia na kutoa shukrani zake kwa kumchagua kuwa Rais katka Uchaguzi Mkuu 2015.
Baada ya kelele za njaa kuzidi, Rais Magufuli anasikika akimjibu mmojawapo huku akichanganya na lugha ya kisukuma.
''Njaa, unataka mimi nikakupikie chakula ule'', kauli ambayo inaibua vicheko kutoka kwa wananchi hao waliokuwa wakimshangilia.
Rais anasikika akimaliza kwa kusema ''Magu Oyee! Nataka niwashukuru wananchi wa Magu kwa kunipigia kura''.
My take: Kisukuma sijui hapo Raisi kaongea nini!
Basi huu ujima ungekuwa unafanywa na Mhaya au Mchagga ungeona povu na mitusi mipropoganda uchwara (Wahaya ni wakabila, CDM ni chama cha wachagga, nk) ambayo ingetoka mtaa wa Lumumba, ungekimbia. Lakini kwa vile hii ni kuhusu Wasukuma hapo ni sawa hakuna ukabila. Huo ni utaifa. I love CCM.huyu rais sion muda ataingiza ukabila TZ, kwa nini yeye anaona sifa sana kuongea kulugha? tulishatoka huko lakini naona awamu hii ni balaa tu.
Rais Magufuli akiwa kwenye ziara yake ya kikazi, wananchi wa wilaya ya Magu mkoani Mwanza wamemsimamisha na kumlalamikia kuwa wana tatizo la njaa.
Wananchi hao wanasikika wakipaza sauti za 'Njaa.. Njaa'' wakati akisalimia na kutoa shukrani zake kwa kumchagua kuwa Rais katka Uchaguzi Mkuu 2015.
Baada ya kelele za njaa kuzidi, Rais Magufuli anasikika akimjibu mmojawapo huku akichanganya na lugha ya kisukuma.
''Njaa, unataka mimi nikakupikie chakula ule'', kauli ambayo inaibua vicheko kutoka kwa wananchi hao waliokuwa wakimshangilia.
Rais anasikika akimaliza kwa kusema ''Magu Oyee! Nataka niwashukuru wananchi wa Magu kwa kunipigia kura''.
My take: Kisukuma sijui hapo Raisi kaongea nini!
You are also an imbecile!Basi huu ujima ungekuwa unafanywa na Mhaya au Mchagga ungeona povu na mitusi mipropoganda uchwara (Wahaya ni wakabila, CDM ni chama cha wachagga, nk) ambayo ingetoka mtaa wa Lumumba, ungekimbia. Lakini kwa vile hii ni kuhusu Wasukuma hapo ni sawa hakuna ukabila. Huo ni utaifa. I love CCM.
KaaaWeka video, tuamini kama kweli.
Hebu niwekeni sawa. Huyu Mwana kijiji yuko Marekani? Kama ni kweli KONEKSHENI yangu ya nyuma inaweza pata walau nguvu kidogo. Ni hivi: Huko nyuma nilihisigi kuwa MMM ni Dr. Slaa. Zilikuwa ni hisia nilizo zijenga kwa KUUNGANISHA kauli za Bwana Slaa na MAANDIKO ya MMM wakati huo katika gazeti la Tanzania Daima.....Unaongelea njaa ikiwa marekani,huu ni ufala
cha kushangaza ni wananchi wanashangilia mwezao kujibiwa !!!Sishangai anaweza kutoa kauli kama hizo ameshazoea kuropoka
Eating sugar, no PapaJoni Joni yes papaaa....