MAGU, MWANZA: Wananchi walalamika njaa, Rais Magufuli awajibu "Mnataka nije niwapikie?"

Malofa wanapewa makavu afu wanakenua njaa haijawabana vizuri hai we wakazie Tu Mkuu. ILA wamezoea kubembelezwa hao unless Kama Una strategy nyingine 2020
 
Sikubaliani hata kidogo the figurehead, kusema kilugha. Tulitoka huko zamani, ndio maana tupo kama tulivyo sasa. Sidhani kama raisi anashauriwa ipasavyo, inawezekana labda hakubali ushauri.
This is a dangerous game!
Ni nini hataki watanzania wengine tuelewe anaposema na watu wa kwao?
Unalikuza tu. It was just one sentence.

By the way, kwanini Watanzania wanakuwa wakali Rais akiongea kisukuma lakini wanataka aongee kiingereza!

Ama kweli utumwa umeota mizizi vichwani.
 
Si sawa kutumia lugha yao kuhutubia....anatengeneza ukabila na ubaguzi wa wazi sio sawa.....ubaya kuwa hashauriki! Nani amwambie kuwa asitumie kisukuma kwenye hotuba zake ni kutengeneza utengano wa kikanda na kutumia lugha ! Nani wa kumwambia ukweli ambapo hapendi kuambiwa?
 
Huna akili mtu anagawa taifa wewe unajikomba nchi hii sio ya mama yake Kama amechoka aondoke sio kuturudishia ukabila kwanza anatumia kodi zetu kuzurura na kutukana wananchi huko
Nyinyi ndio hamna akili. Aliyetaka kuligawa taifa ni yule aliyekuwa akipigwa picha akigawa maburungutu ya fedha. Aliyetaka huruma ya ukuu wa nchi kwa kigezo cha dhehebu lake.

Matusi huyajui, unapoteza nguvu nyingi kuweka hasira moyoni. Na hajatukanwa mtu zaidi ya kuambiwa ukweli unaouma.
 
Nyinyi ndio hamna akili. Aliyetaka kuligawa taifa ni yule aliyekuwa akipigwa picha akigawa maburungutu ya fedha. Aliyetaka huruma ya ukuu wa nchi kwa kigezo cha dhehebu lake.

Matusi huyajui, unapoteza nguvu nyingi kuweka hasira moyoni. Na hajatukanwa mtu zaidi ya kuambiwa ukweli unaouma.
hujielewi wewe maburungutu ya serikali mtukufu si anayagawa ikulu au wewe kipofu toa ujinga hapa kwani alishindwa au kwa sababu aliyepo alipachikwa siku nyingine jisogeze usileta hasira uchwara hapa
 
Rais Magufuli akiwa kwenye ziara yake ya kikazi, wananchi wa wilaya ya Magu mkoani Mwanza wamemsimamisha na kumlalamikia kuwa wana tatizo la njaa, akawajibu kuwa ''mnataka niwapikie''?

Hizi kauli zinatupeleka wapi Watanzania?
Mimi japo sina hata elimu ya Chuo kikuu lakini nimemuelewa jamani hata kama hatumpendi kuna wakati lazima tupunguze munkari ndiyo maana hata hao watu wamecheka achene kulifanya kila jambo ni la kisiasa.
 
hujielewi wewe maburungutu ya serikali mtukufu si anayagawa ikulu au wewe kipofu toa ujinga hapa kwani alishindwa au kwa sababu aliyepo alipachikwa siku nyingine jisogeze usileta hasira uchwara hapa
Pole sana babylata, unaishi na machungu moyoni. Nyinyi ndio hamna akili, mlitaka kutuingiza chaka baya, tukakushtukieni mapema.
 
HOngera sana mheshimiwa Rais kwa kuwa Mkweli kwa watanzania. Watanzania tuna tabia ya uvivu hasa wa mwili na akili. Wanataka mtu wa aina yako, mtu wa kuwaambia ukweli. Maneno ya wapinzani yasikutishe, Chapa kazi tu.

HAPA KAZI TU

 
Back
Top Bottom