Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,645
lakini ni sawa si unaona wamefurahi
Mkuu, hawa ni wale watoto wa mwisho mwisho kuzaliwa ocean road. Ni matunda ya ugali wa yanga tuliokula enzi zile za uhujumu uchumi kuelekea 1985.Tatzo mnataka kuligeuza hili suala KISIASA mnashindwa, ona sasa UNAKIMBILIA kutukana MATUSI.....hiki kizazi za malezi ya zero brain shida sana......
Unataka mpaka wakose nguvu za kulia njaa ndo ujue kuna njaa?
Unataka mpaka wakose nguvu za kulia njaa ndo ujue kuna njaa?
Anayoyasema pengine hayakuhusu wewe na hayanihusu mimi. Yale yanayotuhusu siku zote husemwa kwa kiswahili. Anapokuwa na watu wake anakuwa huru kuwafikishia ujumbe utakaoeleweka moja kwa moja katika mantiki wanayoielewa.Sikubaliani hata kidogo the figurehead, kusema kilugha. Tulitoka huko zamani, ndio maana tupo kama tulivyo sasa. Sidhani kama raisi anashauriwa ipasavyo, inawezekana labda hakubali ushauri.
This is a dangerous game!
Ni nini hataki watanzania wengine tuelewe anaposema na watu wa kwao?
Basi huu ujima ungekuwa unafanywa na Mhaya au Mchagga ungeona povu na mitusi mipropoganda uchwara (Wahaya ni wakabila, CDM ni chama cha wachagga, nk) ambayo ingetoka mtaa wa Lumumba, ungekimbia. Lakini kwa vile hii ni kuhusu Wasukuma hapo ni sawa hakuna ukabila. Huo ni utaifa. I love CCM.
mkuu ni chakura na sio chakulaNjaa unataka nikakupikie mimi chakula
Duuu. ! Siongezi neno !
Sasa umemkosoa hapo huoni hata aibu aliekosea ni nani kati yenu wawilimkuu ni chakura na sio chakula
Huna akili mtu anagawa taifa wewe unajikomba nchi hii sio ya mama yake Kama amechoka aondoke sio kuturudishia ukabila kwanza anatumia kodi zetu kuzurura na kutukana wananchi hukoMkuu, hawa ni wale watoto wa mwisho mwisho kuzaliwa ocean road. Ni matunda ya ugali wa yanga tuliokula enzi zile za uhujumu uchumi kuelekea 1985.
Mwanakijiji huku Tanzania kuna upungufu mkubwa wa chakula kwa sasa na hivyo kusababisha tatizo LA njaa seriously kwa baadhi ya maeneo kwa sababu ya uhaba mkubwa wa mvua kwa sasa. Ukame umetamalaki na mifugo inahali mbaya. Leo nimepita maeneo ya Kilosa hali ya mifugo sio njema hasa ng'ombe na Ardhi ni kame mno..wananchi hawana akiba ya chakula wengi wao na Yale machache bei yake iko juu sana. Kifupi njaa inapiga hodi kwa waliobaki ila wengi wao hawana resources kubadilisha au kununua chakula kwa walionacho.Na kweli hao wanaozungumza wana njaa kweli? duh! sidhani kama watu wanajua njaa katika jamii ni nini hasa... wananikumbusha kisa cha mtoto alielia "mbwa mwitu mbwa mwitu"...
Ufahamu tu na najua wafahamu TZ huku wakulima wadogowadogo wanategemea sana mvua kilimo chao na si kitaalam kabisa. Hivyo wanachovuna ndio wanatumia wanauza kwa ajili ya matumizi hao ya kawaida baada ya kuuza pia chakula. Shida ikizidi mara zote huuza hata akiba kuweza kusaidia familia. Wajua hilo sana. Nakuhakikishia njaa IPO kwa idadi tosha tu vijijini. Wa shauri walio Bongo huku hasa viongozi wetu njaa sio siasa ni ukweli kabisaa..
Ninapata tatizo na mwelekeo wetu..wanawatumia tu wasukuma ili wapate kura.
..Magufuli atakapotoka madarakani usijeshangaa wakawatupa mkono wasukuma na kanda ya ziwa.
..nakumbuka mwaka 1994/95 John Cheyo alianzisha chama cha udp.
..ccm walikiogopa sana wakaanzisha propaganda ni chama cha wasukuma.
..leo hii ccm kuwakumbatia wasukumu na kumhimiza mwenyekiti wao azungumze kisukuma