Emmanuel simon
Member
- May 3, 2016
- 94
- 65
Documents zake zinaonyesha mzigo uliyopo ktk container ni ya mitumba ambayo ni nguo na viatu na hapo ndipo utata ulipo tu.Sisi tunaosafirisha mizigo tulijua tokea siku ya mwanzo kwamba Ndugu Rais kapewa taarifa potofu..Yale mambo ya kuweka marobota ya Nguo ili gari lisichunike na contener yapo hadi Ulaya.
Mambo mengine kutamkwa na Mkuu wa nchi ni aibu sana ila ndio wetu hatuna namna