ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,173
- 40,590
- Thread starter
-
- #81
Astghafirullah 😳Unaweza kusema huyu jamaa kampendea nn huyu manzi , huelewi.
Na viceversa is true.
Kuna zile manzi hata hutak watu wakuone nae. Ila uko nae tu.
Tuvitu vitu kama hutu ndio wanakuwaga mafund sana wanawake wa namna hiyo.
Maana wanajua bila hayo hawana chao.😂😂😂😂
Ila nadra sana ukute pisi kali na inajua mapenz na kujishughulisa.
Labda uileweshe na kuihonga parefu.
Au mimi sipo duniani, mbona haya mambo sijawahi kutukukutana nayo kabisa!!!!!!. 😒😒😒Jamani mapenzi 🙌🙌🙌
Kila mtu ana ile siku yake ya kukumbukwa a fantastic day ✨
Siku ambayo akili ilitulia kwa asilimia 💯
Mwili ukapokea hisia tofauti kabisa, ukahisi msisimko wa ajabu ❤️
Ukahisi mtetemo wa ndani na nje… good moments like a movie scene 🎬
Siku ambayo kwa saa au dakika kadhaa, kila kitu kilikuwa raha tupu 😮💨
Utamu mpaka kisogoni, na udenda ukichuruzika kifuani 😋
Unaikumbuka hiyo siku? 😉
Au bado hujawahi kabisa kuwa na siku kama hiyo kwenye maisha yako?
Wengine mpo mpo tu sasa hivi…😅
Lakini ipo siku itafika utasema
Aahh… kumbe hii ndiyo ile siku iliyowahi kusemwa JF” 😅✨
That’s what we call a Magical Day 💫
Na huyo mtu aliyekupa hiyo magical feeling… bado mpo pamoja?
Au ni wale wa ahh, vina muda basi 🤪
Mapenzi ni tiba nzuri ❤️
Mapenzi ni dawa na uzuri wake, hiyo dawa si chungu ni tamu kuliko maelezo 😌🫶
NB: NINA MAHUSIANO 🥰🙏
hamchelewi kusema nilipia tangazo 😂
Je, unaikumbuka Magical Day yako? ✨
Mimi nitasema kwa comment 👀
ShesRise_1 👋
Be your self don't fvck to anybodyUnaweza kusema huyu jamaa kampendea nn huyu manzi , huelewi.
Na viceversa is true.
Kuna zile manzi hata hutak watu wakuone nae. Ila uko nae tu.
Tuvitu vitu kama hutu ndio wanakuwaga mafund sana wanawake wa namna hiyo.
Maana wanajua bila hayo hawana chao.😂😂😂😂
Ila nadra sana ukute pisi kali na inajua mapenz na kujishughulisa.
Labda uileweshe na kuihonga parefu.
Heh hujawahi kabisa 😳Au mimi sipo duniani, mbona haya mambo sijawahi kutukukutana nayo kabisa!!!!!!. 😒😒😒
Nimefurahi hii comment imetoka kwako 😅Ila mapenzi matamu jamani.
Jamani mapenzi 🙌🙌🙌
Kila mtu ana ile siku yake ya kukumbukwa a fantastic day ✨
Siku ambayo akili ilitulia kwa asilimia 💯
Mwili ukapokea hisia tofauti kabisa, ukahisi msisimko wa ajabu ❤️
Ukahisi mtetemo wa ndani na nje… good moments like a movie scene 🎬
Siku ambayo kwa saa au dakika kadhaa, kila kitu kilikuwa raha tupu 😮💨
Utamu mpaka kisogoni, na udenda ukichuruzika kifuani 😋
Unaikumbuka hiyo siku? 😉
Au bado hujawahi kabisa kuwa na siku kama hiyo kwenye maisha yako?
Wengine mpo mpo tu sasa hivi…😅
Lakini ipo siku itafika utasema
Aahh… kumbe hii ndiyo ile siku iliyowahi kusemwa JF” 😅✨
That’s what we call a Magical Day 💫
Na huyo mtu aliyekupa hiyo magical feeling… bado mpo pamoja?
Au ni wale wa ahh, vina muda basi 🤪
Mapenzi ni tiba nzuri ❤️
Mapenzi ni dawa na uzuri wake, hiyo dawa si chungu ni tamu kuliko maelezo 😌🫶
NB: NINA MAHUSIANO 🥰🙏
hamchelewi kusema nilipia tangazo 😂
Je, unaikumbuka Magical Day yako? ✨
Mimi nitasema kwa comment 👀
ShesRise_1 👋
Mwenzio anakumbuka siku aliyotiwa vzr wewe unaamka 😂😂😂😂Kumekucha
Astghafirullah ndio uweke picha hiyo kwenye uzi unaonukia utamuu😎
Reincarnation of binti wa zamaniJamani mapenzi 🙌🙌🙌
Kila mtu ana ile siku yake ya kukumbukwa a fantastic day ✨
Siku ambayo akili ilitulia kwa asilimia 💯
Mwili ukapokea hisia tofauti kabisa, ukahisi msisimko wa ajabu ❤️
Ukahisi mtetemo wa ndani na nje… good moments like a movie scene 🎬
Siku ambayo kwa saa au dakika kadhaa, kila kitu kilikuwa raha tupu 😮💨
Utamu mpaka kisogoni, na udenda ukichuruzika kifuani 😋
Unaikumbuka hiyo siku? 😉
Au bado hujawahi kabisa kuwa na siku kama hiyo kwenye maisha yako?
Wengine mpo mpo tu sasa hivi…😅
Lakini ipo siku itafika utasema
Aahh… kumbe hii ndiyo ile siku iliyowahi kusemwa JF” 😅✨
That’s what we call a Magical Day 💫
Na huyo mtu aliyekupa hiyo magical feeling… bado mpo pamoja?
Au ni wale wa ahh, vina muda basi 🤪
Mapenzi ni tiba nzuri ❤️
Mapenzi ni dawa na uzuri wake, hiyo dawa si chungu ni tamu kuliko maelezo 😌🫶
NB: NINA MAHUSIANO 🥰🙏
hamchelewi kusema nilipia tangazo 😂
Je, unaikumbuka Magical Day yako? ✨
Mimi nitasema kwa comment 👀
ShesRise_1 👋
Ila me nina wasi wasi kuwa , yawezekana leo umepandishwa mlima kilimanjaro zaidi ya mara tatu. Hivyo unayo furaha isiyo na kifani.. 😃😃.Heh hujawahi kabisa 😳
Pole sana
😅😅😅Reincarnation of binti wa zamani
Hakuna walaIla me nina wasi wasi kuwa , yawezekana leo umepandishwa mlima kilimanjaro zaidi ya mara tatu. Hivyo unayo furaha isiyo na kifani.. 😃😃.
Sema ukweli 🤨🤨!!
Kwanini mjukuu?Nimefurahi hii comment imetoka kwako 😅
Wengine daily ni magical day!!!Jamani mapenzi 🙌🙌🙌
Kila mtu ana ile siku yake ya kukumbukwa a fantastic day ✨
Siku ambayo akili ilitulia kwa asilimia 💯
Mwili ukapokea hisia tofauti kabisa, ukahisi msisimko wa ajabu ❤️
Ukahisi mtetemo wa ndani na nje… good moments like a movie scene 🎬
Siku ambayo kwa saa au dakika kadhaa, kila kitu kilikuwa raha tupu 😮💨
Utamu mpaka kisogoni, na udenda ukichuruzika kifuani 😋
Unaikumbuka hiyo siku? 😉
Au bado hujawahi kabisa kuwa na siku kama hiyo kwenye maisha yako?
Wengine mpo mpo tu sasa hivi…😅
Lakini ipo siku itafika utasema
Aahh… kumbe hii ndiyo ile siku iliyowahi kusemwa JF” 😅✨
That’s what we call a Magical Day 💫
Na huyo mtu aliyekupa hiyo magical feeling… bado mpo pamoja?
Au ni wale wa ahh, vina muda basi 🤪
Mapenzi ni tiba nzuri ❤️
Mapenzi ni dawa na uzuri wake, hiyo dawa si chungu ni tamu kuliko maelezo 😌🫶
NB: NINA MAHUSIANO 🥰🙏
hamchelewi kusema nilipia tangazo 😂
Je, unaikumbuka Magical Day yako? ✨
Mimi nitasema kwa comment 👀
ShesRise_1 👋
Kafanyaje?
Nilijua kwa uzee huo nilihisi ume staafuKwanini mjukuu?