Magic papers na namna kura zinavyoibwa

Magic papers na namna kura zinavyoibwa

Hata iweje mwaka huu hakuna goli la mkono hakuna kamwe ni ukawa tu.
 
lowasa akishinda nitafanya sherehe kubwa sana kumshukuru MUNGU kuwakomboa watanzania walioteswa miaka 50 na kudharauliwa huku raslimali zao zikiuzwa na kufaidiwa na watu weupe ambao wanaona waafrika ni barbaric static na JOSEPH CONRAD kwenye kitabu chaKe anaonesha waafrika wakiwa wamefananishwa na wanyama inauma ukifikiria sana unaweza kulia ila NITAFUTA MACHOZI SIKU CCM IKIONDOKA MADARAKANI
 
Na wewe leo mpinzani? Kweli hizi ni akili za abunuwasi, subirini kifo chenu october 25.
mimi ni mpinzani ila wewe ni muigizaji wa upinzani. Ujue kutofautisha hayo mambo mawili. hatuwezi kuwa sawa hata siku moja.
 
mimi ni mpinzani ila wewe ni muigizaji wa upinzani. Ujue kutofautisha hayo mambo mawili. hatuwezi kuwa sawa hata siku moja.

Ni vyema umejiandaa mapema kuwa mpinzani maana october 25 chama chako cha ccm kitakuwa ni chama cha upinzani.
 
Hahaaaaaaaaaa mtaisoma tu namba tafuteni kila aina ya sababu. Professa wenu wa Cuf aliyewakimbia, uchaguzi uliopita ulikuwa na uzushi kama akaahidi atakwenda Uchina kufuatilia hadi leo kimyaaaa. Mlisema Ccm haina watu sasa mnaumbuka na sasa mnaanza kutafuta sababu. Fankuuuuro malofa na majuha. Hamna maana hata shilingi moja mmekodi watu kutafuta ushindi,tuliwaambia hamna manpower nyie,lakini as ussually viroba mnaendeshwa kwa remote
Nenda ukanye she.nzy typ janaume la kunya kunya! Mafindo a-noko nkoyi!! Wewe hujitambui hakika, choka mbaya na wewe unashabikia ma-ccm? Aibuuuuuuuuuuuuuu
 
Umeshasikia kuhusu magic votes ? Huku kwetu mnaita kura za maruhani ni wizi wa kura kutumia karatasi maalum zilizoandaliwa sawa na za kupigia kura lakini ziko kitecnologia zaidi ziliwahi Kuleta scandal na kugunduliwa kutumika Israel na Kazakhstan.

Hizi karatasi zinaprintiwa kama zingine zikiweka majina ya wagombea na vyama vyao lakini tiki au Alama ya vema ya siri inakuwepo kwenye sehemu ya mgombea aliyeandaliwa karatasi hizo lakini haiwezi kuonekana mpaka karatasi ikunjwe na kukosa kiasi flani cha oxygen ndipo chemical maalum zinareact hivyo ile tiki iliyowekwa kujitokeza pale ilipokusudiwa.

Pia tiki nyingine iliyowekwa kwa kalamu ya wino ikireact na hiyo kemicali hupotea nilioneshwa China sample yake nikashangaa na kuelewa.

So chama kikiimpozi karatasi kama za million tano kwa ajili ya uchaguzi wa Urais wanna kuwa na uhakika wa kura million tano haiwezi kuharibika Wala kuchagua vinginevyo .

Please buyer be aware.
Hiyo ni kazinya kampuni moja ya Israel iitwayo Nikuv International Project.
Kampuni hii ndiyo ilimsaidia Mugabe kushinda chaguzi za Zimbabwe.
 
ukweli ni kwamba wapinzani tumepoteana. tuanze upya. hatuwezi shinda tukiwa vipande vipande. leo hii Zitto yuko kivyake na kundi lake, Prof Lipumba yupo likizo ya wazi, Dr. slaa yupo likizo ya kimya.
single ya ufisadi tumeizika rasmi, halafu tunatarajia tushinde? huu kama sio ulofa ni nini?
Na wewe ni mpinzani? Labda mpinzani wa yule jamaa anayekugongea mkeo
 
Hizo porojo hazijaanza leo, labda miaka 10 ulikuwa bado u mdogo sana ndiyo sasa umeanza kuzielewa.
 
nimeipenda hii. siunakua kwenye kichumba bhana peke yako?

Hii kitu inatokea after 20 to 30 minutes kumbuka huwezi kuruhusiwa Kuala kwenu kichumba muda wrote huo pia huwa wanaprint chache kwa mfano waliojiandikisha ni 20milioni zinaandaliwa milioni tano na million I tano zingine hata 7 wanatafuta kihalali kumbuka pia watu wengi hawata piga kura
 
Aisee hhii nikiona kwny series ya scandal president fitzgerrald alivyoshinda
 
Back
Top Bottom