Tapeli mkubwa, kwanini usigange mwenyewe, daktari wa kweli anajiganga, mnaleta mautapeliyenu humu ndani kuwaibiwa watu, wapuuzi kabisa...
Kama wewe si tapeli la kutaka kuku mweusi na sisimizi mwenye mimba, weka mambo hadharani?
Kwani siri?
HAKUNA kitu kama hicho!si kila jambo linawezekana kama unavyotaka wewe,MTU JASIRI TU,MAANA MAGIC NI HATARI
HAKUNA kitu kama hicho!
Mara niletee mbu mwenye makengeza, fiksi tupu za kuwaibia watu!
si kila jambo linawezekana kama unavyotaka wewe,MTU JASIRI TU,MAANA MAGIC NI HATARI
Mkuu Mla nyama za watu (Barbarick), nguvu zipo, na tumepewa na Mungu bure na kwa uwazi ili kuzitumia nguvu za Mungu ni freely na unconditional!, ila shetani naye yupo, na pia anazo nguvu ambapo ili kuzitumia ni conditional!, lazima ufuate masharti fulani kama zilivyo secret societies zote!. Kitendo cha kuwe condition tuku TP, hii ndio dalili ya kwanza kabisa na ya awali, unachotaka kutuletea ni ushetani!.kama una ujasiri wa hali ya juu na unataka kupata pesa(magic money) sio blood concern ni nguvu tu.physic power, utapata kiasi cha pesa unachotaka ni pm nikupe maelezo ya kuamusha physic power yako.