MagicFM wana tangazo lao ambalo husema anayekuna na anayekunwa nani anasikia raha????
if someone can read between the lines ni rahisi sana kuelewa kwamba hili tangazo ni matusi matusi, ingawa sio moja kwa moja lakini ni matusi.
Niliwahi kuandika kwa TCRA kutoa malalamiko haya, walinijibu kwamba watafanyia kazi. ni muda sasa umepita na hili tangazo bado linaendelea kupigwa.
inawezekana ni mimi tu nina tatizo na hili tangazo? Haiwezekani kuwa mbunifu bila kuweka lugha zenye viashiria vya matusi?
if someone can read between the lines ni rahisi sana kuelewa kwamba hili tangazo ni matusi matusi, ingawa sio moja kwa moja lakini ni matusi.
Niliwahi kuandika kwa TCRA kutoa malalamiko haya, walinijibu kwamba watafanyia kazi. ni muda sasa umepita na hili tangazo bado linaendelea kupigwa.
inawezekana ni mimi tu nina tatizo na hili tangazo? Haiwezekani kuwa mbunifu bila kuweka lugha zenye viashiria vya matusi?