Dkt Mwijuma
Senior Member
- Apr 9, 2023
- 198
- 561
Kwanza polen na msiba ndg zangu
Ilikuwa ni tarehe 18 ya mwezi wa pili pale viwanja vya Tunza Beach jijini Mwanza mbele ya mbunge wa Ilemela mama Mabula
Kampuni ya Magic Builders International walifanya semina ya mafundi rangi na wakawa wametoa simu kumi na tano pamoja na pikipiki tano kwa mafundi
Kuna mda sikuwa naamini lkn, kuna watu waliopewa zawadi nikawa nawafahamu, ikapelekea nianze kuamini kuwa ni kweli zawadi sio za kupangana wala mchongo
Lkn siku zinazidi kwenda baadhi ya waliopewa zawadi sioni wakizitumia, ikumbukwe pikipiki zilikuwa na stika za kampuni hivyo hazijifichi, mpaka leo naandika ni tarehe 1 mwezi machi sijaona pikipiki hata moja kati ya zile tano ikitumiwa na fundi
Maanake ni kwamba huenda walipangwa wapewe then wazirudishe ndio maana hawazitumiii
Ilikuwa ni tarehe 18 ya mwezi wa pili pale viwanja vya Tunza Beach jijini Mwanza mbele ya mbunge wa Ilemela mama Mabula
Kampuni ya Magic Builders International walifanya semina ya mafundi rangi na wakawa wametoa simu kumi na tano pamoja na pikipiki tano kwa mafundi
Kuna mda sikuwa naamini lkn, kuna watu waliopewa zawadi nikawa nawafahamu, ikapelekea nianze kuamini kuwa ni kweli zawadi sio za kupangana wala mchongo
Lkn siku zinazidi kwenda baadhi ya waliopewa zawadi sioni wakizitumia, ikumbukwe pikipiki zilikuwa na stika za kampuni hivyo hazijifichi, mpaka leo naandika ni tarehe 1 mwezi machi sijaona pikipiki hata moja kati ya zile tano ikitumiwa na fundi
Maanake ni kwamba huenda walipangwa wapewe then wazirudishe ndio maana hawazitumiii