Serikali ya ajabu Tanzania kweli hamna mafisadi?,kagoda,Meremeta na Wanufaika wa IPTL hiyo mahakama haiwahusu,kwa hiyo majaji wa mahakama hiyo hawana kazi,makarani hawana kazi,office attendant nao hawana kazi,kwa tafsiri nyingine hao watu wanalipwa bila kazi.
Sasa basi naomba serikali nyie wenyewe mtamke kuwa hawa ni wafanyakazi feki ova.