jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
akihutubia baraza la madiwani na watendaji wa halmashauri ya meru katika ufunguzi wa tovuti ya halmashauri hiyo mkuu wa mkoa wa arusha ndg Magesa Mulogo amesema hakuna haki bila amani hivyo ameaonya wananchi kufuata sheria na kudumisha amani kabla ya kudai haki zao.amesisitiza kuwa huwezi kudai haki iwapo hakuna amani.
Source:mimi mwenyewe kutoka eneo la tukio.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Source:mimi mwenyewe kutoka eneo la tukio.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA