elimu haiongezi busara.Huyu Mulongo ni mtu wa aina gani? mbona ni kama kijana tu na ni msomi? Iweje atoe kauli kama hii wakati kinyume cha kauli yake ndiyo ukweli yaani hakuna amani pasipo haki.
karibu viongozi wote wa serikali ya sasa hawana tofauti na watumia drugs,hawana akili kabisa.alivyokuwa dc wa bagamoyo alikuwa mla rushwa mkubwa,alijifanya mkali kwenye ufisadi jioni anakutana nao anakatiwa share yake..ufisadi wake unajulikana vizuri..nenda halmashauri ya bagamoyo watendaji wote wanaujua ufisadi wake..mnafki mkubwa
akihutubia baraza la madiwani na watendaji wa halmashauri ya meru katika ufunguzi wa tovuti ya halmashauri hiyo mkuu wa mkoa wa arusha ndg Magesa Mulogo amesema hakuna haki bila amani hivyo ameaonya wananchi kufuata sheria na kudumisha amani kabla ya kudai haki zao.amesisitiza kuwa huwezi kudai haki iwapo hakuna amani.
Source:mimi mwenyewe kutoka eneo la tukio.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA