Magereza mapya 52 kujengwa

Magereza mapya 52 kujengwa

Inasikitisha sana wakati wenzetu ulaya magereza yanakosa wafungwa wanayafunga na kubadilisha matumizi.Gharama ya kujenga hayo magereza wangefunga cctv kila mji.Pia kuwekeza katika elimu mikoa ya ziwa victoria penye mauaji kila siku
Naunga mkono hoja. Kwa kadri watu wanavyopigika, ndivyo uhalifu unavyoongezeka, badala ya serikali yetu kuongeza magereza, wange invest kwenye kuboresha uchumi, watu wapunguze kupigika, vibaka wapungue.

Pia serikali iwekeze kwenye elimu ya uraia ya good citizenship, na adhabu mbadala, badala ya kuwafunga mwizi wa kuku, unampatia shughuli ya kumuingizia kipato kumuweza kununua kuku ale.

Wafungwa waliojazana magerezani, wapewe adhabu mbadala, watumikie vifungo vya nje.

Kanda ya ziwa, wale jirani zetu wanaopenda kuuana kwa wivu wa mapenzi, wapewe tuu semina za upendo, hata ukimkuta mwizi wako anakula mali zako, usimuue kwa hasira, msubiri tuu amalize, na kumruhusu aende zake tuu bila kumfanya chochote,, kwa sababu hata ale vipi, hawezi kumaliza, chakula cha kuwatosha wote mshibe bado kinakuwepo, na vyakula vingine sio big G kusema itaisha utamu, akimaliza kula, mpe muda wa kumpumzika, na wewe utaendelea kufaidi tuu, kwa sababu utamu haushi, na habandui kuondoka nayo, na kuna vitu vingine, hakuna makombo, hivyo mauaji ya wivu wa mapenzi, yatakwisha.

P
 
They won't build schools anymore, they won't build no hospitals, all they build were prisons prisons
I am in priiiiiiiiisoooooon

~Lucky Dube
 
Inasikitisha sana wakati wenzetu ulaya magereza yanakosa wafungwa wanayafunga na kubadilisha matumizi.Gharama ya kujenga hayo magereza wangefunga cctv kila mji.Pia kuwekeza katika elimu mikoa ya ziwa victoria penye mauaji kila siku

ISIS
MSAGA SUMU
Mshana Jr
Pascal Mayalla
Mshauri mkuu wa mtukufu ni Daud Arbaty Bashite ambaye hana vyeti na washauri wa Bashite ni kubwa jinga Le mutuz na kilaza Musiba unategemea nini kwenye huo mnyororo zaidi ya vioja?
 
Angalau kila familia iwe na mfungwa mmoja.

Najitahidi mwanangu mmoja awe wakili aokoe wenzake.
 
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema serikali ina mpango wa kujenga magereza 52 katika maeneo tofauti nchini.

Masauni aliyesema hayo bungeni jana alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Rorya, Lameck Airo (CCM). Katika swali lake mbunge huyo alitaka kujua serikali ina mpango gani wa kujenga gereza la Wilaya ya Rorya hasa baada ya kuwa kanda maalumu ya kipolisi.

Akijibu swali hilo, Masauni alisema serikali ina mpango wa kujenga magereza 52 katika maeneo tofauti likiwemo eneo la Rorya lakini changamoto kubwa ni upatikanaji wa fedha. Alisema Wilaya ya Rorya ni miongoni mwa wilaya 52 nchini zisizo na magereza.

Aidha kutokana na ufinyu wa bajeti, serikali itaendelea na ukamilishaji wa magereza ambayo ujenzi wake umekwishaanza ambapo kipaumbele ni kuhakikisha inakamilisha miradi ambayo ipo katika hatua mbalimbali za ujenzi.
Badala ya kujenge vyuo vya ufundi kupungaza jobless mnajenga mageteza, akili za kiccm ni primitive
 
Wapinzani mjiandae mana mnatengenezewa sehem mpya za kuishi. Ila hapa tz aloko salama ni mmoja tu mwenye kinga wengine wote ni wafungwa watarajiwa ni swala la muda hasa wapinzani . Ndo serikali tulonayo
Ha ha a ha ha ha ha ha
 
Badala ya kujenge vyuo vya ufundi kupungaza jobless mnajenga mageteza, akili za kiccm ni primitive
Bashite saa 24 huwa anawaza kuwakomoa chadema, Wapinzani wake kwa ujumla lazima watawaza vitu vibaya kama hivyo badala ya viwanda na mambo mengine ya msingi.
 
Mbunge wangu lameck,kukaa kwako kimya mda wote huo Leo unakuja kwa kuomba kujengewa gereza!jamani wana rorya,ang'o marach kodwa?
 
Kaka mayalla. Ulichokiandika ni kweli. Lakin mkuu sasa nani wa kukusikia. Tunajua dhahiri magereza yanajengwa kwa ajili ya kina nani na kwanini. Kwa jinsi hiyo tutatengeneza police state.. na sio state iliyo free yenye focus ya maendeleo instead of ku control watu.
Naunga mkono hoja. Kwa kadri watu wanavyopigika, ndivyo uhalifu unavyoongezeka, badala ya serikali yetu kuongeza magereza, wange invest kwenye kuboresha uchumi, watu wapunguze kupigika, vibaka wapungue.

Pia serikali iwekeze kwenye elimu ya uraia ya good citizenship, na adhabu mbadala, badala ya kuwafunga mwizi wa kuku, unampatia shughuli ya kumuingizia kipato kumuweza kununua kuku ale.

Wafungwa waliojazana magerezani, wapewe adhabu mbadala, watumikie vifungo vya nje.

Kanda ya ziwa, wale jirani zetu wanaopenda kuuana kwa wivu wa mapenzi, wapewe tuu semina za upendo, hata ukimkuta mwizi wako anakula mali zako, usimuue kwa hasira, msubiri tuu amalize, na kumruhusu aende zake tuu bila kumfanya chochote,, kwa sababu hata ale vipi, hawezi kumaliza, chakula cha kuwatosha wote mshibe bado kinakuwepo, na vyakula vingine sio big G kusema itaisha utamu, akimaliza kula, mpe muda wa kumpumzika, na wewe utaendelea kufaidi tuu, kwa sababu utamu haushi, na habandui kuondoka nayo, na kuna vitu vingine, hakuna makombo, hivyo mauaji ya wivu wa mapenzi, yatakwisha.

P
 
Yaani Lameck ktk kipindi chako chote cha ubunge jimboni kwako upungufu uliyobaini ni wa gereza tu? Watu wanaomba miradi ya maendeleo wewe unaomba gereza?
Yeye huwa haombie vitu vdogovdogo. Daraja likizingua jmbon kwake huwaga anazama mfukoni.

Kwaiyo, umkome!
 
They build no schools any more,all they build is prison prison.huu wimbo mzur sana
 
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema serikali ina mpango wa kujenga magereza 52 katika maeneo tofauti nchini.

Masauni aliyesema hayo bungeni jana alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Rorya, Lameck Airo (CCM). Katika swali lake mbunge huyo alitaka kujua serikali ina mpango gani wa kujenga gereza la Wilaya ya Rorya hasa baada ya kuwa kanda maalumu ya kipolisi.

Akijibu swali hilo, Masauni alisema serikali ina mpango wa kujenga magereza 52 katika maeneo tofauti likiwemo eneo la Rorya lakini changamoto kubwa ni upatikanaji wa fedha. Alisema Wilaya ya Rorya ni miongoni mwa wilaya 52 nchini zisizo na magereza.

Aidha kutokana na ufinyu wa bajeti, serikali itaendelea na ukamilishaji wa magereza ambayo ujenzi wake umekwishaanza ambapo kipaumbele ni kuhakikisha inakamilisha miradi ambayo ipo katika hatua mbalimbali za ujenzi.
Ukumbuke "mchimba kaburi........" Juzi hapa tuliona Lau Masha anapandishwa karandinga la polisi lakini kipindi cha yy ndiye aliyekuwa akiamuru sweka huyu....Leo yy ndio anaswekwa!
 
Wenzetu wanafunga magereza kwa kukosa wafungwa, sisi tunajenga mapya...

Badala ya kuhakikisha vijana na watoto wetu hawatendi makosa, sie twawasubiri wakosee kwa kuwaandalia pa kuwasweka!

Kweli Mwafrika atabaki kuwa mwafrika tu...

http://www.ladbible.com/news/news-t...our-more-prison-due-to-lack-of-crime-20180622


Magereza zetu zilivyo mbovu sasa, Dah... Wenzetu gereza kama hoteli, lakini hakuna mtu!
Prison_Aisle.jpeg
Prison_Room.jpeg
 
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema serikali ina mpango wa kujenga magereza 52 katika maeneo tofauti nchini.

Masauni aliyesema hayo bungeni jana alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Rorya, Lameck Airo (CCM). Katika swali lake mbunge huyo alitaka kujua serikali ina mpango gani wa kujenga gereza la Wilaya ya Rorya hasa baada ya kuwa kanda maalumu ya kipolisi.

Akijibu swali hilo, Masauni alisema serikali ina mpango wa kujenga magereza 52 katika maeneo tofauti likiwemo eneo la Rorya lakini changamoto kubwa ni upatikanaji wa fedha. Alisema Wilaya ya Rorya ni miongoni mwa wilaya 52 nchini zisizo na magereza.

Aidha kutokana na ufinyu wa bajeti, serikali itaendelea na ukamilishaji wa magereza ambayo ujenzi wake umekwishaanza ambapo kipaumbele ni kuhakikisha inakamilisha miradi ambayo ipo katika hatua mbalimbali za ujenzi.
Ndiyo CCM inakotupeleka sasa magereza wayajenge hata elfu 10 haitasaidia kitu
 
Back
Top Bottom