mpita-njia
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 1,732
- 1,610
haya yako full electronics, mafundi wasiotumia computer hawayawezi kabisa, ndio maana wanalia lia mabovu.
Hapa Mafunsdi wenu ndio hawana Elimu. Ila Dealer wa Toyota lazima atakuwa na nyenzo za kufanyia kazi.