BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,021
Habari!
Naomba kuulizia nitapata vipi mawasiliano na watu wa magari ya utalii(kwenda mbugani). Safari nataka kutokea Arusha mjini kwenda Ngorongoro Crater.
Kama kuna makampuni wana websites naombeni mnisaidie. Safari hii inatarajiwa kuwa Mid-December, 2011.
Na je mwenye idea ya bei kwa trip ni bei gani?pia experience nzuri na kampuni aliyotumia anisaidie niwafuatilie.
Asante!!
BelindaJacob..!!!
Naomba kuulizia nitapata vipi mawasiliano na watu wa magari ya utalii(kwenda mbugani). Safari nataka kutokea Arusha mjini kwenda Ngorongoro Crater.
Kama kuna makampuni wana websites naombeni mnisaidie. Safari hii inatarajiwa kuwa Mid-December, 2011.
Na je mwenye idea ya bei kwa trip ni bei gani?pia experience nzuri na kampuni aliyotumia anisaidie niwafuatilie.
Asante!!
BelindaJacob..!!!