Mchekechoni
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 279
- 19
Hali ya kisiasa nchini Tanganyika (Tanzania Bara) ni tete sana, ikichagizwa na malumbano vulugu-vulugu baina ya wenye magamba na wanaovaa magwanda. Haya malumbano yote nayo mwisho wake ni nini? Before 2015, something terrible will happen. Just take note, I stand to be corrected!