Kwani huyu Mwijage ni Nshomile? Kama ni Nshomile basi musishangae ila kiukweli jamaa anaju anachoongea. Maana mimi mwanzoni nilifikiri ni mbunge wa upinzani kumbe ni Wa CCM. Sasa hawa watu Wa TISS wanaomshauri Raisi kuhusu cabinet hawakuiona CV ya Mwijage?Inashangaza kuona kwenye cabinet ya JK kuna watu ambao shule na visomo vyao ni vya kugushi na performance ni mbaya lakini watu Kama Mwijage wako un-utilizedKiukweli jamaa kasema fact achia mbali misifa yake
Hamna lolote ni mpango wa magamba wa kumwokoa ngereja. Huoni walivyojipanga kila mpinza akimaliza wanaibuka na hoja hovyo ilikufunka yaliyosemwa na mchangiaji aliyepinga hoja.Huyu mbunge alikuwa najisifia mwenyewe kama mjinga. Nani alikuwaJamani tuache wivu usio na maana wa kuponda bila kuangalia mambo ya msingi. Yule jamaa hajitapi bali ana facts na kwenye sayansi mtu mwenye facts ndiye mwenye haki ya kuongea. Ukitaka kuwa great thinker nenda kwenye hoja alizotoa ndiyo uzi challenge otherwise itakuwa ni wivu usio na maana. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
kiukweli jamaa kasema fact achia mbali misifa yake
kama anaipenda ccm amedumaa , anakataa kutongozwa huku anaelekea chumbani na umeme huu wa TanescoTuache ushabiki wa siasa, mimi mwenyewe magamba nawachukia sana lakini Mwijage ni JEMBE! Jamaa anaelewa vitu na angetumiwa vizuri angeweza kuwasaidia sana wazee wa serikali iliyojaa vilaza na viongozi wenye mawazo mgando!
Nimegundua hapa Jf kuna watu empty in mind na easy kutongozeka yule jamaa kama umemsia vizuri anatafuta umarufu wa kutokea hana jipya tena si m2 makini wakutegemeka huwezi ongea upupu kama ule eti kwakuwa ni msomi ujinga mtupu.Hamna lolote ni mpango wa magamba wa kumwokoa ngereja. Huoni walivyojipanga kila mpinza akimaliza wanaibuka na hoja hovyo ilikufunka yaliyosemwa na mchangiaji aliyepinga hoja.Huyu mbunge alikuwa najisifia mwenyewe kama mjinga. Nani alikuwa anataka kujua elimu yake ni ulimbukeni kweli.Ila nadhani adhima ilikuwa ni kuharibu ni kufifisha mchango wa zitto.Kwa mtu analytical huwezi kuelewa hata alichokuwa anachangia zaidi ya kujisifia tu mwenyewe na kutishia eti yeye mara ni usalama wa taifa mara ni mtaalamu. Yeye kama yeye pamoja na huo utumishi wa muda mrefu mchango wake ni upi katika tatizo hili? Amekula ameshiba sasa anaongea pumba nadhani alikuwa amelewa siyo bure. Stupid!