Rubawa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2015
- 2,055
- 3,239
Maneno ya kijinga na kashifa sio mazuri tukijibu matasema wadini cjui nn hkn muislam yyote anae ufarahi kutoa uhai wa mtu mwingine awe dini yyote ileWalikuwa wanachekelea tumboni wanaposikia makafir wameuwawa na magaidi. Wanasahau jini ukilifuga likimaliza majirani kuna siku litageukia wanao na mwisho wa siku linakumalizia wewe mwenyewe. Kama wamepiga jirani na kaburi la Mtume wanayejidai kumfuata tena kipindi muhimu kama hiki cha mfungo hao hawawezi kuwa watu wa kawaida ... Ni mashetani kamili katika umbo la binadamu ...